devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 269
- 367
Nilishuhudia siku moja demu anagongwa live mchaana kweupe...ule mtaaa sitakuja kuishi
Sangamela last time natoka hapo nilipiga mbili tatu hapoSangamela bar hapo Chaugingi bado ipo?
Ile mitaa gonjwa lipo waziwazi na guest bubu za kutosha pale kwa sisi watulivu mitaa hiyo haifai kama umejipanga unapumzika Fm hotel au ile hotel ya Mji mwema jina nimelisahauNilishuhudia siku moja demu anagongwa live mchaana kweupe...ule mtaaa sitakuja kuishi
Ilikuwepo Chani hotel nasikia ameinunua Mwanyika!Ile mitaa gonjwa lipo waziwazi na guest bubu za kutosha pale kwa sisi watulivu mitaa hiyo haifai kama umejipanga unapumzika Fm hotel au ile hotel ya Mji mwema jina nimelisahau
Ilisha chakaa kabisa Imekuwa motel bubu.Na ile Mlimani motel je ipo?
Duh.....mwenye hilo jengo alikuwa hajui kusoma wala kuandika!Ilisha chakaa kabisa Imekuwa motel bubu.
Yalikuwaga Maeneo yetu wazee wa Njoss 😅😅 unanyandua hata kwa buku paleBado upo mzee japo kuwa umepewa jina la club mmoja inaitwa triple 7 ila ilo jina huwa naliskia Ila sikujua kama ndio lilikuwa jina lake
Pia huo mtaa ndio kitovu cha zinaa aisee
Alishauwawa na majambazi yule mzee, Alivamiwa miaka flani apo nyumaDuh.....mwenye hilo jengo alikuwa hajui kusoma wala kuandika!
Duh......aliuawa mzee Kyando?Alishauwawa na majambazi yule mzee, Alivamiwa miaka flani apo nyuma
Apa nimechanganya mafail kaka, nkajua anazungumziwa mzee Ngailo aliyekuwa anamiliki Monica Motel.Duh......aliuawa mzee Kyando?
Poleni sana Njombe.
Hiyo Monica motel ipo Chaugingi?Apa nimechanganya mafail kaka, nkajua anazungumziwa mzee Ngailo aliyekuwa anamiliki Monica Motel.
Mzee Kyando alifariki kawaida lile jengo la hotel saivi lipo chini ya Lutheran na pia sio hotel tena wameweka Chuo pale
Ndio ipo chaugingi lakn saivi nayo sio hotel tena, mzee alipofariki ile hotel ilikufaHiyo Monica motel ipo Chaugingi?
Ok namjua yule mzee alikuwa na duka la jumla pale mjini jirani na Ngiluka au kituo cha mafuta cha mzee Mtewele!Ndio ipo chaugingi lakn saivi nayo sio hotel tena, mzee alipofariki ile hotel ilikufa
Bado upo japokuwa Siku unaitwa Club777Nakumbuka nyuma ya duka la Widambe palikuwa na mtaa unaitwa mtaa wa Dhambi ( Dhambi st) ambao ulisheheni vilabu na bar
Jamani huu mtaa bado upo?
Kamwene!
NdioKuna msikiti pia?