bigKilaza
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 356
- 211
Jirani yangu kapata tatizo leo siku ya tatu hana umeme. Kaenda kutoa taarifa ya tatizo la mita waliomfungia haifanyi kazi hivyo kusababisha kukosa umeme siku ya tatu leo. Wale jamaa wa emergency walimwambia baada ya masaa 24 watakuja kwenye tukio toka saa aliyotolea taarifa sasa uliza hayo masaa 24 + 24 +24 + ? Ukiwapigia wanakwambia wapo njiani. Jamani badirikeni mkishindwa kufanya kazi muache sio mpo kusubiria kutumbulia. Meneja watu wako wanakuangusha.