Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,931
- 3,254
Nitangulize samahani kwa wadau watakaodhani natetea uhalifu (ubaya) wa namna yoyote. Lakini wema na ubaya havijawai kuachana kama mwanga na giza. Ifikie hatua waibiwaji tujitathmini.
Ubaya ukikwaza wengi mtu timamu huangalia wapi tatizo linaanzia.
Hili la wizi wa mtandaon kama "tafadhari tuma humu" naomba lawama zote nizielekeza kwa wahanga wenyewe.
Huwezi kudai haki kama hutimizi wajibu. Unatumaje pesa kwa sms ya namba usiyoijua bila hata kuhakiki na mhuska!
Kwa haraka haraka Watanzania bado sana tuna uzembe uliopitiliza. Mengine tunaipa serkali mizigo ya ovyo kabsa. Hata nchi jirani zenye watu makini hawana kiwango hiki cha ujinga na ushamba wa dunia ya mitandao.
Kuna mtu anaibiwa kizembe hadi unataman umzabe kibao kama bonus. Serkali ni kama inajitaid kulea na kulinda watoto walemavu wa kutafakar katika kila tambo.
Nashauri kuanzia chekechea watoto wapewe masomo ya kutafakar na kuchaj akili. hili ni pamoja na kuwapa nguvu ya kuhoji na kujihoji. Haki na Wajibu. Kodi na Rushwa. Watu ni waoga hadi dhidi yao wenyewe.
Mbinu hubadilika, bora kuongeza nguvu kwenye ufaham kuliko kutafuta wahalifu kwa kila mbinu mpya inayoibuka na kwa gharama kubwa. Serkali na taasisi zake tuipunguzie mzigo wa kufukuza upepo wakat kuna wizi halisi wa kimtandao kama wa hackers.
Kifupi tu watu wengi wanaibiwa mtandaoni kwa sababu za uzembe, kutojari, ushamba na ulimbuken. Yan KUTOWAJIBIKA!
Ubaya ukikwaza wengi mtu timamu huangalia wapi tatizo linaanzia.
Hili la wizi wa mtandaon kama "tafadhari tuma humu" naomba lawama zote nizielekeza kwa wahanga wenyewe.
Huwezi kudai haki kama hutimizi wajibu. Unatumaje pesa kwa sms ya namba usiyoijua bila hata kuhakiki na mhuska!
Kwa haraka haraka Watanzania bado sana tuna uzembe uliopitiliza. Mengine tunaipa serkali mizigo ya ovyo kabsa. Hata nchi jirani zenye watu makini hawana kiwango hiki cha ujinga na ushamba wa dunia ya mitandao.
Kuna mtu anaibiwa kizembe hadi unataman umzabe kibao kama bonus. Serkali ni kama inajitaid kulea na kulinda watoto walemavu wa kutafakar katika kila tambo.
Nashauri kuanzia chekechea watoto wapewe masomo ya kutafakar na kuchaj akili. hili ni pamoja na kuwapa nguvu ya kuhoji na kujihoji. Haki na Wajibu. Kodi na Rushwa. Watu ni waoga hadi dhidi yao wenyewe.
Mbinu hubadilika, bora kuongeza nguvu kwenye ufaham kuliko kutafuta wahalifu kwa kila mbinu mpya inayoibuka na kwa gharama kubwa. Serkali na taasisi zake tuipunguzie mzigo wa kufukuza upepo wakat kuna wizi halisi wa kimtandao kama wa hackers.
Kifupi tu watu wengi wanaibiwa mtandaoni kwa sababu za uzembe, kutojari, ushamba na ulimbuken. Yan KUTOWAJIBIKA!