bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Leo undergraduates wote tunategemea kuanza mitihani ya kumalizia muhula wa kwanza. Wanajf nawaombeni mtukumbuke kwa maombi.Mwisho nawatakieni wenzangu wote mitihani miema japo 2nafanya kwa huzuni bila wenzetu waliofukuzwa kwa kutetea haki ya watanzania.
AHSANTENI.
AHSANTENI.