johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Mungu ni mwema na leo ni Jumatano ya majivu tukiuanza rasmi mfungo wa Kwaresma sisi tuliokombolewa kwa damu ya Yesu.
Nawatakia nyote msimu mwema wa Kwaresma na mfungo wenye baraka kwa wote wenye mapenzi mema.
Vaa barakoa, Nawa mikono mara kwa mara na Epuka misongamano.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Maendeleo hayana vyama.
Nawatakia nyote msimu mwema wa Kwaresma na mfungo wenye baraka kwa wote wenye mapenzi mema.
Vaa barakoa, Nawa mikono mara kwa mara na Epuka misongamano.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Maendeleo hayana vyama.