Nawatakia heri ya pasaka Wanachadema na wana UKAWA tu popote walipo, Mungu awabariki sana

Wanachama wa Ukawa wanahitaji maombi ikiwa bado wanaamini kuwa viongozi wao wala unga Mbowe na Lissu ni wazalendo.
 
Akili yako imefunikwa na ukungu wa ufipa huwezi kuona chochote cha maana zaidi ya miguu ya mboe
Au hilo Bwawa la Zanzui ndiyo umeona Maendeleo..

Kuna viwanda vingapi hapo Maswa vilivyotoa ajira..

Wewe Mwenyewe umeikimbia Maswa..na kuwaacha wadogo zako wakiamka asubuhi hawajui pa kwenda.
Kilimo cha Pamba Maswa ilikuwa inaongoza leo nini kimetokea ..
 
Back
Top Bottom