Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,369
- 217,426
Mwamba , wewe ndio Nuru pekee ya Haki iliyosalia Nchini Tanzania , Wewe ni nguzo pekee ya amani nchini , Pamoja na kwamba unaungwa mkono na karibu Vijana wote (98%) wa Tanzania , hata hivyo hujawahi kuwashawishi kufanya vurugu hata pale haki zako na za chama chako zinapovunjwa .
Kwa leo sina mengi sana , NAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA WA 2022 WEWE NA WENZAKO WATATU mliotengenezewa kesi ya Mchongo , Tutaonana Mahakamani 10/01/2022