Nawatakia heri wanandoa wote wanaofunga ndoa zao leo!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,147
Aijalishi wazazi walikutana wapi ukatoka aijalishi mzazi mmoja alikususa kukutunza
kinachotakiwa ni wewe jinsi gani ya kuishi katika kutimiza mapenzi ya mungu labda
kama kuna uamuzi mwema uliofanya ni huu wa leo kuamua kuoa ama kuolewa muanze
familia yenu yenye upendo na amani....aijalishi ni aina gani ya maisha mnayoenda kuishi ,utapanda bajaji ama pikipiki kwenda kanisani
ila kwa mapenzi ya MUNGU alieawapa uhai wake kwa niaba ya PDIDY Entertainment nawatakia
harusi njema zenye upendo na baraka aijalishi ujanialika najua ni katika moja ya cost cutting
ila MUNGU akusaidie hata ikifika mieizi sita unialike kuazimisha mmefika salama ntawapa muziki na mc bure kuazimisha sherehe yenu

ndoa ni upendo
ndoa ni amani
ndoa na maelewano
ndoa ni kufichiana siri
ndoa ni kuheshimiana
ndoa ni kuzalishana watoto bila idadi hali mmeamua ninyi wawili na mna uwezo wa kuwatunza na si kuwapeleka kiraracha ama samunge wakatunzwe na babu
usikubali kudangnywa ndoa si mavumiliano waliovumiliana wengi wameshaondoka na bp kama sio oilcom hope umeelewa
ndoa ni kuwa wawazi kila mmoja sisemi muanze kulazimishana kuandika mali zenu pamoja too early kwa sasa
ndoa si uadui kumbuka ndio maana ukumuoa ama ukuolewa na dadako/kakako kwa hiyo kila mtu ametunzwa maisha tofauti lakini kwa uweza wa mwenyezimungu mnaunganisha maisha yenu aijalishi mmoja aliishi kwa dhiki mwingine kwa raha inakuwa moja raha mtindo mmoja mwisho

ujumbe

msikubali kwenda mahakamani hata siku moja ...mwenye macho aambiwi tazama
 
Aijalishi wazazi walikutana wapi ukatoka aijalishi mzazi mmoja alikususa kukutunza
kinachotakiwa ni wewe jinsi gani ya kuishi katika kutimiza mapenzi ya mungu labda
kama kuna uamuzi mwema uliofanya ni huu wa leo kuamua kuoa ama kuolewa muanze
familia yenu yenye upendo na amani....aijalishi ni aina gani ya maisha mnayoenda kuishi ,utapanda bajaji ama pikipiki kwenda kanisani
ila kwa mapenzi ya MUNGU alieawapa uhai wake kwa niaba ya PDIDY Entertainment nawatakia
harusi njema zenye upendo na baraka aijalishi ujanialika najua ni katika moja ya cost cutting
ila MUNGU akusaidie hata ikifika mieizi sita unialike kuazimisha mmefika salama ntawapa muziki na mc bure kuazimisha sherehe yenu

ndoa ni upendo
ndoa ni amani
ndoa na maelewano
ndoa ni kufichiana siri
ndoa ni kuheshimiana
ndoa ni kuzalishana watoto bila idadi hali mmeamua ninyi wawili na mna uwezo wa kuwatunza na si kuwapeleka kiraracha ama samunge wakatunzwe na babu
usikubali kudangnywa ndoa si mavumiliano waliovumiliana wengi wameshaondoka na bp kama sio oilcom hope umeelewa
ndoa ni kuwa wawazi kila mmoja sisemi muanze kulazimishana kuandika mali zenu pamoja too early kwa sasa
ndoa si uadui kumbuka ndio maana ukumuoa ama ukuolewa na dadako/kakako kwa hiyo kila mtu ametunzwa maisha tofauti lakini kwa uweza wa mwenyezimungu mnaunganisha maisha yenu aijalishi mmoja aliishi kwa dhiki mwingine kwa raha inakuwa moja raha mtindo mmoja mwisho

ujumbe

msikubali kwenda mahakamani hata siku moja ...mwenye macho aambiwi tazama

mmmmh, Unawafundisha nini hapo wanandoa? Utawafanya hata wengine baada ya siku chache waachane kama ni hivyo...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom