Nawatakia Heri Katika Mfungo Mtukufu wa Kwaresma.

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Tushiriki kikamilifu kukumbuka Mateso ya Bwana wetu Yesu Kristo Aliye hai.

Tuwape stahiki zao wale wahitaji.

Tuwe wapole. Wanyeyekevu. Wasikivu na Wavumilivu.

Tutimize nadhiri zetu kwa Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi.

Tumuombee Taifa Takatifu wa Mungu Israel. Aendelee kuwa Taifa Kubwa akikingwa na vijitaifa vidogovidogo visivyokuwa na ubavu wa kumfanya kitu. Avishikishe adabu (kwa Mkono wa Mungu kila vitakapoleta za kuleta).

Ooh Jerusalem!!

Tumsifu Yesu Kristo.
 
hayo ndio maisha yangu ya kila siku, wala si kwa ajili ya kwaresma tu!!
 
Tushiriki kikamilifu kukumbuka Mateso ya Bwana wetu Yesu Kristo Aliye hai.

Tuwape stahiki zao wale wahitaji.

Tuwe wapole. Wanyeyekevu. Wasikivu na Wavumilivu.

Tutimize nadhiri zetu kwa Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi.

Tumuombee Taifa Takatifu wa Mungu Israel. Aendelee kuwa Taifa Kubwa akikingwa na vijitaifa vidogovidogo visivyokuwa na ubavu wa kumfanya kitu. Avishikishe adabu (kwa Mkono wa Mungu kila vitakapoleta za kuleta).

Ooh Jerusalem!!

Tumsifu Yesu Kristo.

Mataifa yote ni ya Mungu. Na watoto wa Mungu ni wale wote wenye mioyo safi, hutenda mema, na kutii amri zake. Hawadhulumu wenzao au kuomba kupatilizwa kwa wale waliowadhulumu.
 
wapendwa hebu tuwekane sawa katika haya:

1. hakuna kitu hapa duniani kinachoitwa "mfungo mtukufu".
2. mimi ninajua kwa hakika kuwa mtukufu ni mmoja tu, ndiye Mungu. sifa na utukufu wote humwelekezea yeye.
2. hakuna na wala halijapata kuwepao hapa duniani "taifa tukufu"
3. mataifa yote ni yake Bwana na watu wote tangu kuumbwa kwa ulimwengu hadi leo ni kondoo wa maliisho yake na kwa nyakati zote, kila aliyeliitia jina la Bwana aliokolewa bila kujali alitoka taifa gani.
4. Mungu mwenyezi na mwingi wa rehema na neema hajawahi wakati wowote kuhitaji nadhiri kutoka kwa wanadamu. yeye anasema "ndio" yenu na iwe "ndio" na "sio" yenu na iwe "sio"
5. kila lililo tunda la roho ni wajibu wa mkristo yoyote wa kweli siku zote za maisha yake na hangoji ujio wa mfungo wa kwaresma

Mungu akubariki mpendwa kwa kututakia heri

Glory to God
 
Tushiriki kikamilifu kukumbuka Mateso ya Bwana wetu Yesu Kristo Aliye hai.

Tuwape stahiki zao wale wahitaji.

Tuwe wapole. Wanyeyekevu. Wasikivu na Wavumilivu.

Tutimize nadhiri zetu kwa Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi.

Tumuombee Taifa Takatifu wa Mungu Israel. Aendelee kuwa Taifa Kubwa akikingwa na vijitaifa vidogovidogo visivyokuwa na ubavu wa kumfanya kitu. Avishikishe adabu (kwa Mkono wa Mungu kila vitakapoleta za kuleta).

Ooh Jerusalem!!

Tumsifu Yesu Kristo.


Milele Amina!!!!!

Si kufunga kwa nje tu na kiroho zaidi
 
Milele Amina!!!!!

Si kufunga kwa nje tu na kiroho zaidi

mpendwa DA, nakubaliana nawe 100% kuwa kufunga kwetu kuwe kiroho zaidi na si kwa nje tu. ubarikiwe sana.

tatizo la wengi wetu tunazingatia zaidi kufunga kwa nje kuliko kiroho. ukishadeclare openly kwamba tunaanza mfungo tarehe XX na tunamaliza mfungo wetu tarehe XX tayari imeishakuwa ni "kufunga kwa nje" kufunga kwa ndani mtu huwezi jua lini mtu kafunga ama kafungua. tukiijua kweli, tutakuwa huru hakika

stay blessed

Glory to God
 
Back
Top Bottom