Mafeking
Member
- Aug 21, 2018
- 45
- 93
Habarini wakuu nawatafuta ndugu zangu wafuatao Sophia Antony Marwa, Marwa Antony Marwa Nilipotezana nao 2003 mkoani Mbeya, Nlikuwa bado mdogo sana.
Pia Omari M Mwita, John M Mwita ni ndugu nawatafuta. kwa ambae atakuwa anawafahamu tafdhari naomba tuwasiliane kwa namba 0753500631/0784304324.
Mimi ni kaka yao au mdogo wao Werema M Mwita.
Asanteni..
Pia Omari M Mwita, John M Mwita ni ndugu nawatafuta. kwa ambae atakuwa anawafahamu tafdhari naomba tuwasiliane kwa namba 0753500631/0784304324.
Mimi ni kaka yao au mdogo wao Werema M Mwita.
Asanteni..