Nawatafuta ndugu zangu Adeline Mking'i na Prisca Mking'i

jf expert

Member
Jun 5, 2017
14
13
habar
nawatafuta ndugu zangu hao hapo juu..hawa ni wadogo zangu tumeshare baba. baba yetu anaitwa Godwel Mking'i kwa sasa ni marehem.kwa mujibu wa taarifa toka kwa mama,baada ya kuzaliwa mimi baba na mama hawakuishi pamoja..nikiwa na miaka Miaka 10 tulihama tanzania na kwenda denimark nilikosoma na mama akifanya kazi..kwa sasa tumerud na tunaishi arusha..
baba yetu alioa mke mwingine nadhan mchaga na ndio wakazaliwa hao wadogo zangu ninaowatafuta..ni watu wazima.. maana mimi mwenyewe ni mtu mzima pia..marehem baba alikuwa mbena na kwa mujibu wa mama yangu,baba yetu alikuwa mfanyakaz wa TRA,na hapo dsm alikuwa akiishi mbez beach (tangibovu)
kwa yeyote anawafaham walipo hawa ndugu anijulishe kwa pm..
 
Mkuu kwenye ile TV tunayoilipia kodi lkn inaonyesha Mchele mchele na chenga (TBC1) hua wana kipindi kinaitwa BANGO nenda utoe taarifa hii watakusaidia sana kupitia kipindi hicho

#........Mondray2017
 
Mkuu ungeenda radio zinasikilizwa Sana Kama efm,clouds in radio one,Au TV...pia pitia kwenye goggle, unaweza pata walikosoma Au wanakofany kazi,.Au type jina fb
..kila LA heri,..
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom