Ninawatafuta
1.Patric ambaye mama yake ni Wanjila Zakaria. Patric alizaliwa Dodoma mwaka 1973 maeneo ya Msalato. Mama yake Patric ni mgogo. Baba yake Patric ni Mnyiha kwa jina ni Lemson Jonas Shale Mgalla
Baba yake Patric alikuwa ni mwanajeshi katika kambi ya Mafunzo ya JKT (Msalato). Baba yake Patric alikuwa maarufu kwa jina la Sokomoko
Baba yake Patric aliondoka Dodoma baada ya kupata ajali mbaya sana ya gari huko Dodoma. Hivyo tangu apate ajali hiyo hajawahi kuonana na mwanae Patric.
Yeyote anayefahamu habari za Patric tafadhali awasiliane nami kwa tel. No. 0784-978072
2. Joseph ambaye mama yake ni Pili Athanas. Joseph alizaliwa mwaka 1973 huko Dodoma. Mama yeke Joseph ni Muha. Baba yake Joseph ni Lemson Jonas Shale Mgallah
Joseph na mama yake waliondoka Dodoma mwaka 1973 na kuelekea Kigoma kwa matembezi. Bahati mbaya Baba yao hakuweza tena kuonana nao. Kwani Baba yao alipata ajali mbaya sana. Baba yake anaamini Joseph na mama yake hawajui yaliyomkuta.
Tafadhali kama kuna mtu yoyote anajua taarifa ya ndugu zangu hao anijulishe kwa tel. 0784978072
ASANTENI
1.Patric ambaye mama yake ni Wanjila Zakaria. Patric alizaliwa Dodoma mwaka 1973 maeneo ya Msalato. Mama yake Patric ni mgogo. Baba yake Patric ni Mnyiha kwa jina ni Lemson Jonas Shale Mgalla
Baba yake Patric alikuwa ni mwanajeshi katika kambi ya Mafunzo ya JKT (Msalato). Baba yake Patric alikuwa maarufu kwa jina la Sokomoko
Baba yake Patric aliondoka Dodoma baada ya kupata ajali mbaya sana ya gari huko Dodoma. Hivyo tangu apate ajali hiyo hajawahi kuonana na mwanae Patric.
Yeyote anayefahamu habari za Patric tafadhali awasiliane nami kwa tel. No. 0784-978072
2. Joseph ambaye mama yake ni Pili Athanas. Joseph alizaliwa mwaka 1973 huko Dodoma. Mama yeke Joseph ni Muha. Baba yake Joseph ni Lemson Jonas Shale Mgallah
Joseph na mama yake waliondoka Dodoma mwaka 1973 na kuelekea Kigoma kwa matembezi. Bahati mbaya Baba yao hakuweza tena kuonana nao. Kwani Baba yao alipata ajali mbaya sana. Baba yake anaamini Joseph na mama yake hawajui yaliyomkuta.
Tafadhali kama kuna mtu yoyote anajua taarifa ya ndugu zangu hao anijulishe kwa tel. 0784978072
ASANTENI