Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Hivi ni vitabu / machapisho niliyoyaandika kwa mwaka 2018; nawasihi watanzania wenzangu tuwe na tabia ya kuandika kwani vitabu ni hazina. Kesho na kesho kutwa watoto wetu wataendeleza kile tulichokiandika wakati wa uhai wetu. Kama una lolote la kuongea mbele za watu ujue kuwa unalo la kuandika kwa ajili ya kumbukumbu.