Moja ya jambo ambalo madaktari hawa wamelifanya na nimeliona ni zuri na la kisomi zaidi ni kumtaalifu mtoto wa mkulima kuwa hawatakuja ukumbini kwenye mazunguzo kisha hawakuishia hapo wakatoa na sababu wanasema kuwa taalifa iliwafikia usiku ikiwa imechelewa sana. Swali la kujiuliza ni kwa nini Waziri mkuu alienda wakati walimwambia kuwa hawatakuwepo? Mimi nafikiri ni kuwa alitaka kuwaonyesha kuwa yeye ni nani! Sasa hawa jamaa hawataki hilo! Ni lazima PM aangalie alama za nyakati.
Jambo lingine nafikiri mtoto wa mkulima alikuwa anawaita kwenye majadiliano na siyo maelekezano sasa kama mtu unamwita kujadiliana nae usimtishie, hapa naona kama vile Mtoto wa mkulima anatishia maiti. Kiasi walichofikia madaktari hawa wamechoka.Abadili mbinu ya kujadiliana wataelewana tu.
Nawasilisha.
Jambo lingine nafikiri mtoto wa mkulima alikuwa anawaita kwenye majadiliano na siyo maelekezano sasa kama mtu unamwita kujadiliana nae usimtishie, hapa naona kama vile Mtoto wa mkulima anatishia maiti. Kiasi walichofikia madaktari hawa wamechoka.Abadili mbinu ya kujadiliana wataelewana tu.
Nawasilisha.