Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,664
Fanyeni masihara na maradhiNaww uliwashwa mkyundu.....
I wish ningekuwa karibu nikusaidie kukukuna...umbali huu mwe
Fanyeni masihara na maradhiNaww uliwashwa mkyundu.....
I wish ningekuwa karibu nikusaidie kukukuna...umbali huu mwe
Ha haaa,sidhani kama vinahusiana mkuu,Kama nikwel unayosema bas nmeanza kuamin kwamba hua mnapata utam tunapokwenda kwa mparange...au sio
Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..
No way out mkuu.Ha ha haa🤣🤣 Fala Sana wewe unampatia na mbinu kabisa 🤣🤣
Lakini haujasema uliponajeNo way out mkuu.Ha ha haa
Nilitumia sabuni ya buku ya zoazoaLakini haujasema uliponaje
Mpaka sa izi bado unatumiaNilitumia sabuni ya buku ya zoazoa
Kipindi hicho nimepata tatizoMpaka sa izi bado unatumia
nimemeza mebendazole na albendazoleUlimeza dawa gani ya minyoo? Inawezakana minyoo wako wamefika stage mbaya and umeji-underdose. Nenda hospitali mkuu wapime choo inaweza kua tatizo ni lingine
I expected this comment 😂😂😂Hebu picha ili tuweze kutambua ugonjwa
Una hatari sana😁😁😁Yaan mi nilivyokuwa najikuna mpaka nasinzia kwa utamu......vidole havitakiwi viwe na kucha ili usijichubue tundu.Pole mkuu...tafuta sabuni uwe unaoshea
kunawa mikono kabla ya kutawaza ni muhimu sana pia maji unayotawazia ni muhimu pia kuwa safi na salamaPole sana Mkuu!.
Kitaalam kuwashwa sehemu ya haja kubwa (Pruritus ani) husababishwa na sababu kadha wa kadha.
Sababu kuu huwa minyoo. Matumizi ya viungo vingi kwenye chakula pamoja na utumiaji mkubwa wa pilipili huweza pia kusababisha kuwashwa kwa eneo hilo.
Unyevu unyevu sehemu ya haja kubwa inaweza kuchochea kuwashwa kwenye eneo la haja kubwa. Unyevu unyevu huo hukaribisha vijidudu na kupelekea kuwashwa.
Dalili za mwanzo za Bawasiri (Hemorrhoids) pamoja na anal fissures huenda ikasabisha kuwashwa kwenye eneo hilo.
Ufanye nini?
.Nenda hospital ukapime na kuangalia kama una minyoo. Daktari atakuandikia dawa kutokana na aina ya minyoo utakayokuwa nayo.
.Usafi binafsi kuhakikisha eneo hilo linakuwa kavu baada ya kujisaidia. Ukishaosha kwa maji, safisha kwa kitambaa kisafi au wipes nzuri. Nawa mikono yako kabla ya kutawaza. Usioshe kwa sabuni katika eneo hilo.
.Punguza kiwango cha matumizi ya viungo na pilipili kwenye mlo wako.
Endapo hali itaendelea, muone daktari kwa uangalizi zaidi!.
Pole sana.
Dawa inaitwa KETINEAL CREAM...wewe ulikuwa unatumia dawa gani?
nashukuru kiongozi nitajie jina la hiyo dawa niitafute
Raha ya muwasho upate mkunaji bibi wewe! Ukihisi hali kama hiyo imejirudia tena nakuomba sana unijulishe, nipo tayari kujitolea kwa ajili yako, nitakukuna kiufundi na utapata raha na kuburudika sana sana, niamini hutajuta.Kwann apeleke huko kwanza?
naweza kukagua kama yapo??Yapo bhana,usinitishe kwa kweli
Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo naomba mwenye kujua tatizo hili na dawa yake anambie..