Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,401
Nahisi watanzania wenye uwezo wa kumwaga "ugali" ni wachache sana. Kumbuka asilimia si chini ya 70 ya watanzania wapo vijijini na hii ripoti sidhani kama wameisikia.Mzee Mwanakijiji kwanza nikushukuru kwa kutukumbusha habari hiyo. Hata mie nilikuwa na copy ya hiyo taarifa ambayo niliipata kwenye mtandao. Lakini mpaka leo sijui ni watu gani walio itayarisha. Kama ni Watanzania waasia basi nawapa hongera sana kwa kazi nzuri waliofanya ya kumwaga "mboga".