Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,530
- 217,791
Wakuu heri ya sikukuu ya Mwaka mpya.
Kiukweli nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitashindwa kutoa neno la shukrani kwa makamanda wenzangu waliopambana kisomi sana hapa jf na kwingineko ili kupangua propaganda duni dhidi ya Chadema , ushahidi unaonyesha kwamba makamanda mmeshinda , tena mmeshinda kwa mbali sana dhidi ya wazandiki wanaolipwa , Mungu awabariki sana .
Nimeshindwa kutaja majina yenu maana mko wengi sana , bali wote mliopigania Chadema nawaomba mzipokee shukrani zangu .
Wahenga wanasema kwamba UKIONA GIZA TOTORO BASI UJUE KARIBU KUNAKUCHA , nazitambua changamoto zinazowakabili nje na ndani ya mitandao bali nawahakikishieni kwamba HAKUNA HATA SIKU MOJA AMBAYO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , 2018 mapambano yaendelee kwa weledi zaidi maana adui kishalegea , sasa hivi ana mbinu moja tu ambayo tumeishaistukia , ile mbinu ya kishamba ya biashara ya binadamu .
Mungu ibariki Chadema .
Kiukweli nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitashindwa kutoa neno la shukrani kwa makamanda wenzangu waliopambana kisomi sana hapa jf na kwingineko ili kupangua propaganda duni dhidi ya Chadema , ushahidi unaonyesha kwamba makamanda mmeshinda , tena mmeshinda kwa mbali sana dhidi ya wazandiki wanaolipwa , Mungu awabariki sana .
Nimeshindwa kutaja majina yenu maana mko wengi sana , bali wote mliopigania Chadema nawaomba mzipokee shukrani zangu .
Wahenga wanasema kwamba UKIONA GIZA TOTORO BASI UJUE KARIBU KUNAKUCHA , nazitambua changamoto zinazowakabili nje na ndani ya mitandao bali nawahakikishieni kwamba HAKUNA HATA SIKU MOJA AMBAYO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , 2018 mapambano yaendelee kwa weledi zaidi maana adui kishalegea , sasa hivi ana mbinu moja tu ambayo tumeishaistukia , ile mbinu ya kishamba ya biashara ya binadamu .
Mungu ibariki Chadema .