Huwa sina maneno mengi sana ila kwa vijana na graduate wote ambao wapo tu hawana mishe amini nakuambia utakulipa sana hii ni kwa mikoa yote, tafuta fundi mzuri utaishi popote pale.
95% ya binadamu wanafanya kazi wasizozipenda...yani imetokea tu MTU akawa mwalimu,doctor au banker BT tunafanya na maisha yanaenda...kwa ufundi ukianza tu ukaiva. Ukafungua kijiwe pesa ikaanza kuingia utapenda tu...so km una mishe ya kufanya sio mbaya BT ufundi unalipa huwezi kosa 50000 au 60000 km fundi mzuri...mtaji ukikua unafungua duka la spare unajiuzia
Ushauri mzuri,sema hao graduates wameshao na kuolewa,sasa wanawaza vibarua vya kuwapatia hela kwa siku,siyo tena kujifunza,maana akianza kwenda kwenye mazoezi hayo,anakuwa halipwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.