Nawashauri NIDA wafanye pre enrolment registering kwanza kwa watu wote wenye vitambulisho vya kupigia kura.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,589
20,898
Naomba kuwashauri nida kwa kuwa na kwa vyovyote itakuwa ni vigumu sana kuweza kuhudumia umma ambao aujasajiliwa ningewashauri kwa wakati huu wa siku ishirini zilizobaki,waruhusu watu wote waliokuwa na vitambulisho vya kupigia kura waruhusiwe kuwa registered kwa ajili ya kupata namba ya nida,ispokuwa wavambatanishe vitambulisho hivyo na vyeti vyao vya kuzaliwa ama afidavity letter za mahakama pamoja na barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa wake,hill itapunguza figisu ambazo zipo kwa sasa,then deep vetting ndio iendelee katka kupata (Citizenship card).
Endapo mtu atabainika kudanganya na vetting ikamkamata huyu atasitahili achukuliwe kama muhalifu mtakatishaji fedha. na apatiwe adhabu kali vile inavyostahili.
 
Yaani mtu alikuwa nchini na amerelax tuu leo Mhe katoa tamko eti asubuhi asubuhi anafika kituoni Anataka namba ya NIDA
Ninyi wenye hivyo vitambulisho mna tabu sana,ulijuaje kama mtu alikuwakarelax?,inamaana mh.rais wetu kujisajili jana sikuzote alikuwa karelax?, kumbuka watanzania tupo almost mil 25-30 tunaotumia simu.so sometime is better to be queity.
 
Usajili umeanza mwaka 2012 Leo ndio wanajitokeza,acha wazimiwe simu alafu wakisajiliwa na kupata namba Watasajili laini upya
Kuna watu wa ajabu mno.Nida waliingia mitaani kusajili watu kipindi kile .Walifuata watu Hadi nyumba jirani .Watu wabishi wakadharau Hilo zoezi .Ilikuwa Wala hupati headache unapata kirahisi tu.Wacha akone siku ingine akili itamkaa sawa
 
!
!
Ni Upumbavu Tu Na Ungese Usio Na Maana Yoyote Ile. Yaani Kwenye Kupiga Kura Mtu Anapata Kitambulisho On The Spot Ila Cha Uraia Vetting.... Wape Watu Vitambulisho Vetting Itafata At Any Time T Mkiona Kuna Shida Mnampokonya Kitambulisho Sasa Huu Usenge Wa Sijui Vetting Vetting My Foot
 
Hili swala naona sasa hivi lifungwe maana mzee wetu keshasema yeye kaongeza siku 20 full stop huwezi kuzitumia achana na matumizi ya simu
 
Hili swala naona sasa hivi lifungwe maana mzee wetu keshasema yeye kaongeza siku 20 full stop huwezi kuzitumia achana na matumizi ya simu
Huwezi sema achana na matumizi ya simu,kwani watu hawana ndg? au wajomba,au mashangazi watakao kuwa na registered line mbili akakupa mjomba wake moja alimradi anakufahamu vyema.
THINK TWICE AND DEEP.
 
Back
Top Bottom