Meno ya mbwa hayawezi kuumana. Hawatataka kuvuruga legacy ya mwendazake.Nawashauri uongozi wa CHADEMA kuwa sasa ni muda muafaka kwenda Mahakamani kupinga uteuzi wa wale Wabunge 19 walioingia Bungeni bila kufuata sheria, kanuni na taratibu. Ninaamini sheria itachukua mkondo wake.
Majaji wa Tanzania hula kiapo cha utiifu kwa Rais na Covid19 walisimikwa kama wale wengine wa CCM walivyosimikwa hii ni baada ya kujikuta kanuni za Bunge zinawabana.Nawashauri uongozi wa CHADEMA kuwa sasa ni muda muafaka kwenda Mahakamani kupinga uteuzi wa wale Wabunge 19 walioingia Bungeni bila kufuata sheria, kanuni na taratibu. Ninaamini sheria itachukua mkondo wake.