NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,023
Unakuta mtu anaendesha gari yake yuko peke yake kafunga viyoo na kiyoyozi juu kavaa barakoa.
Unakuta mtu anatambea yuko mbugani peke yake kavaa barakoa.
Wanashindwa kujua vile virusi havipai kama mbu vinamwingia mtu ndani ya droplets baada ya mtu kupiga chafya au kukohoa au kushika sehemu vilipodondoka.
Njia kuu ni kuzivaa kwenye misongamano na ukikutana na watu mara kwa mara mfano traffick police,bank n.k
Ajabu pamoja na kwamba chanjo haijagunduliwa lakini kuviharibu ni rahisi sana maji na sabuni kuyeyusha futa au capsid ya nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta mtu anatambea yuko mbugani peke yake kavaa barakoa.
Wanashindwa kujua vile virusi havipai kama mbu vinamwingia mtu ndani ya droplets baada ya mtu kupiga chafya au kukohoa au kushika sehemu vilipodondoka.
Njia kuu ni kuzivaa kwenye misongamano na ukikutana na watu mara kwa mara mfano traffick police,bank n.k
Ajabu pamoja na kwamba chanjo haijagunduliwa lakini kuviharibu ni rahisi sana maji na sabuni kuyeyusha futa au capsid ya nje.
Sent using Jamii Forums mobile app