kibo na mawenzi
Member
- Aug 25, 2018
- 84
- 70
Mi simooo!Jamaa amesema ukweli.
MADEREVA wa MABASI na MALORI wengi wao ndio wako hivyo.
Kila MKOA anaoenda ujue ana KIMADA, na uzuri wake kwenye kukata mshiko hawana mkono mfupi.
POLISI halikadhalika