becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 606
- 752
kweli kiongozi sikua nafahamu ulichomaanisha,kama umesoma point niliyoandika pale juu ni kwamba kuna wakati wanavaa wigs ili kuwahisha mambo yaende haraka, sasa sijaona jinsi kuvaa kigodoro kitamfanya awe fasta katika shughuli zake kwahyo sitaruhusu.Kuvisha chupi zenye vigodoro kuongeza muonekano wa ukubwa wa makalio. Ni kweli hujui au umeona tu unisumbue mkuu?