Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
6,236
15,600
Aisee acheni tu zile hisa za DSE zilizokuwa zinauzwa 500 mwezi uliopita kuanzia wiki hii zimeanza ku trade kwenye secondary market kwa bei ya mpaka 1100. Yaani roho inaniuma sana maana hii opportunity nilikuwa naiona kabisa kwamba hii equity ya DSE ilikuwa ni hot cake sema sikuwa na pesa.

Acheni kabisa jamani Umasikini ni laana and knowledge is power. Just imagine after mwezi mmoja tu unapata return ya 100%. Is this not madness? Nimeona mtu anauza share zake 50000 kwa bei ya 1000 na yeye alinunua kwa 500 yaani ametengeneza 25,000,000 profit per month.

Damn... Fvck poverty Fvck poverty... kweli kuwa tajiri ni akili yako na sio kufanya kazi mpaka mikono itoke sugu. Wakulima endeleeni kupalilia mazao ila kuna mpuuzi nimemuona katengeneza 25M ndani ya mwezi mmoja .. mamamamaaaaeee
 
Pole, wenzio tulitumia nafasi tulizonazo kuwekeza. Sikuwa na cash ila nilikuwa kwenye nafasi ya kuaminika kukopa hela na nikagundua hisa. Navuta walau nifike 1200 niuze ila ikishuka hadi 900 pia nauza maana bado ntakuwa sina hasara.

Pesa tamu sana ukiipatia formula ni kama hesabu vile.
 
Pole, wenzio tulitumia nafasi tulizonazo kuwekeza. Sikuwa na cash ila nilikuwa kwenye nafasi ya kuaminika kukopa hela na nikagundua hisa. Navuta walau nifike 1200 niuze ila ikishuka hadi 900 pia nauza maana bado ntakuwa sina hasara.

Pesa tamu sana ukiipatia formula ni kama hesabu vile.
Nimefatilia kuanzia jumatatu liquidity yake ni kubwa sana kwenye bidding so hata 1800 inaweza fika ndani ya wiki mbili zijazo. Kwani ulinunua ngapi? nakuonea wivu ujue?
 
DSE ni Dar Stock Exchange.. walifanya IPO mwezi uliopita kwa kila hisa kwa sh 500 leo hii kila hisa inauzwa kwa 1000 na bado ina fursa ya kupanda.
I know DSE is Dar Stock Exchange, & IPO is initial public offering, but nnachofahamu wao wanauza hisa za makampuni mbalimbali, sasa nilichohitaji kujua ni kampun ipi ilifanya IPO au DSE yenyewe ilifanya IPO as a company?
Nisaidie kujua hilo mkuu.
 
Nimefatilia kuanzia jumatatu liquidity yake ni kubwa sana kwenye bidding so hata 1800 inaweza fika ndani ya wiki mbili zijazo. Kwani ulinunua ngapi? nakuonea wivu ujue?

Yeeeey yaani ikifika hapo hahahahaa ntajipa vacation kwakweli maana ntakuwa nimetimiza hela mbayo ilikuwa niipate by December ila nimeipata by July. Nilinunua 8,000 mara tatu tofauti jumla nilinunua 24,000. Nilifanya hivyo ili nizipate zote, niliogopa ukinunua mara moja wakifanya prolata bases narudishiwa hela.
 
Aisee acheni tu zile hisa za DSE zilizokuwa zinauzwa 500 mwezi uliopita kuanzia wiki hii zimeanza ku trade kwenye secondary market kwa bei ya mpaka 1100. Yaani roho inaniuma sana maana hii opportunity nilikuwa naiona kabisa kwamba hii equity ya DSE ilikuwa ni hot cake sema sikuwa na pesa.

Acheni kabisa jamani Umasikini ni laana and knowledge is power. Just imagine after mwezi mmoja tu unapata return ya 100%. Is this not madness? Nimeona mtu anauza share zake 50000 kwa bei ya 1000 na yeye alinunua kwa 500 yaani ametengeneza 25,000,000 profit per month.

Damn... Fvck poverty Fvck poverty... kweli kuwa tajiri ni akili yako na sio kufanya kazi mpaka mikono itoke sugu. Wakulima endeleeni kupalilia mazao ila kuna mpuuzi nimemuona katengeneza 25M ndani ya mwezi mmoja .. mamamamaaaaeee

Tatizo ID tu ila una mawazo fresh
 
Aisee toka NMB inidondoshe nilitulia kwanza ila hii naiona kama fursa wallah. Ngoja nipige mahesabu yangu nijipange upya.
 
Aisee acheni tu zile hisa za DSE zilizokuwa zinauzwa 500 mwezi uliopita kuanzia wiki hii zimeanza ku trade kwenye secondary market kwa bei ya mpaka 1100. Yaani roho inaniuma sana maana hii opportunity nilikuwa naiona kabisa kwamba hii equity ya DSE ilikuwa ni hot cake sema sikuwa na pesa.

Acheni kabisa jamani Umasikini ni laana and knowledge is power. Just imagine after mwezi mmoja tu unapata return ya 100%. Is this not madness? Nimeona mtu anauza share zake 50000 kwa bei ya 1000 na yeye alinunua kwa 500 yaani ametengeneza 25,000,000 profit per month.

Damn... Fvck poverty Fvck poverty... kweli kuwa tajiri ni akili yako na sio kufanya kazi mpaka mikono itoke sugu. Wakulima endeleeni kupalilia mazao ila kuna mpuuzi nimemuona katengeneza 25M ndani ya mwezi mmoja .. mamamamaaaaeee

Mkuu ni stock ya company gani ??
 
Yeeeey yaani ikifika hapo hahahahaa ntajipa vacation kwakweli maana ntakuwa nimetimiza hela mbayo ilikuwa niipate by December ila nimeipata by July. Nilinunua 8,000 mara tatu tofauti jumla nilinunua 24,000. Nilifanya hivyo ili nizipate zote, niliogopa ukinunua mara moja wakifanya prolata bases narudishiwa hela.
Aisee safi sanaaa, sasa inatakiwa kila siku uangalie soko linaendaje kwenye hiyo. angalie bidding and offering ipoje. Itakupa picha ya bei ambayo itakuwa fair kulingana na utavosoma soko. Ila so far stakes are higher
 
I know DSE is Dar Stock Exchange, & IPO is initial public offering, but nnachofahamu wao wanauza hisa za makampuni mbalimbali, sasa nilichohitaji kujua ni kampun ipi ilifanya IPO au DSE yenyewe ilifanya IPO as a company?
Nisaidie kujua hilo mkuu.
DSE wao wenyewe ni kampuni na ndo walifanya IPO ya kampuni yao. Kwa hiyo hizo hisa ni za DSE. Umenisoma hapo? Hata sahiv embu jaribu kuingia kwenye web ya DSE halafu nenda kwenye market report utaiona
 
Mkuu ni stock ya company gani ??
DSE wao wenyewe ni kampuni na ndo walifanya IPO ya kampuni yao. Kwa hiyo hizo hisa ni za DSE. Umenisoma hapo? Hata sahiv embu jaribu kuingia kwenye web ya DSE halafu nenda kwenye market report utaiona
 
Back
Top Bottom