Nawaonea huruma wadada wasio na "mizigo" mikubwa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,074
42,852
Wakuu mi niseme tu ukweli nikikutana na binti mrembo halafu awe ame pass like a shadow huku nyuma naanza kumuonea huruma.

Naanza kumsikitia nikiwaza jinsi anavyojifiria anapokutana na wenzake ambao Wana mzigo wanaojambia mbali.

Unakutana mjini na katoto kakali balaa ukigeuza shingo uangalie alichobeba chooni unakuta anadanganya work done zero hakuna kitu.

Nawashauri tu wadada slim muwe mnavaa hata zile chupi zenye matako ya ziada kidogo nitakuwa siumii roho nikiwaona.

Huwa nahisi kabisa hamjaridhika na mlichopewa. Ni sawa na Mimi Sasa hivi niwe Sina hela alafu niwe na kibamia halafu eti niseme naridhika tu na jinsi nilivyo nitakuwa nadanganya umma.

Nazungumzia wale ambao matako Yao madogoo kushinda hata ya boyfriends zao.

032118-mih-shadowpocketjean-slide~2.jpeg
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom