johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,819
- 141,723
Zitto ataitwa kwa kosa la kubariki kauli ya CAG kwamba bunge ni dhaifu sawia na mbunge wa kawe Halima Mdee
Pascal Mayalla ataitwa kujieleza kwa kulihusisha bunge na kauli za " hovyo hovyo "
Hayo ni maono ya Johnthebaptist
Maendeleo hayana vyama!
Pascal Mayalla ataitwa kujieleza kwa kulihusisha bunge na kauli za " hovyo hovyo "
Hayo ni maono ya Johnthebaptist
Maendeleo hayana vyama!