B bid2015 JF-Expert Member Sep 6, 2011 306 59 Jul 20, 2012 #1 wazanzibar wana roho mbaya na wivu wa kimasikini bora wafanikishe adhima ya kuvunja muungano, na waondoke kwetu!
wazanzibar wana roho mbaya na wivu wa kimasikini bora wafanikishe adhima ya kuvunja muungano, na waondoke kwetu!
segwanga JF-Expert Member Mar 16, 2011 2,789 729 Jul 20, 2012 #2 Hawatafanikiwa,wanapenda mno kukaa tanganyika.Ni utoto tu ndo unawasumbua wakikua wataacha
M mkataba Senior Member Jul 6, 2012 147 37 Jul 20, 2012 #3 Ama wee chiziii, watu wenyewe kazi yenu kulewa na vilabu mnadhani huo uchumi wetu hapa Tanganyika unaendeshwa na nani??? Maana madini ni ya vigogo sasa kodi za Wazenji si ndio mishahara yetu, fikiri kabla ya kusema kaka!!!
Ama wee chiziii, watu wenyewe kazi yenu kulewa na vilabu mnadhani huo uchumi wetu hapa Tanganyika unaendeshwa na nani??? Maana madini ni ya vigogo sasa kodi za Wazenji si ndio mishahara yetu, fikiri kabla ya kusema kaka!!!