Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Nawaomba msamaha ndugu zangu wa CHADEMA kwa niliyowakosea.
Sikukusudia kuwakosea bali ni kutokana na udhaifu wa kibinadamu.
Yaliyotokea yametokea na hakuna namna ya kuyabadilisha bali kukubaliana nayo.
Niwatakie kheri ya mwaka mpya huku nikiwakumbusha methali isemayo asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Mimi Kada na Mwanaharakati Mzalendo kutoka Lumumba.
Nawapenda nyote japo nitasalis mtiifu kwa nchi yangu.
Sikukusudia kuwakosea bali ni kutokana na udhaifu wa kibinadamu.
Yaliyotokea yametokea na hakuna namna ya kuyabadilisha bali kukubaliana nayo.
Niwatakie kheri ya mwaka mpya huku nikiwakumbusha methali isemayo asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Mimi Kada na Mwanaharakati Mzalendo kutoka Lumumba.
Nawapenda nyote japo nitasalis mtiifu kwa nchi yangu.