Moi: Hivi baada ya kuchakachua walileta fujo kama ya kwetu?
JK: Tehe teh tee..kule waoga sana...eheeeeee
Hivi taingia undoke madarakani jamaa awakusumbui? mimi si unajua nimebakiza miaka mi nne sijii itakuaje mzee wangu
moi; kijana ndo unakaribia kumaliza kipindi chako hvo jitahidi kukomba mali.