VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Leo sitaji wala kumnyoshea kidole kama ngole yeyote kwa tafrani iliyotokea kwenye mkutano wa CUF pale Ubungo Plaza. Nawasihi na kuwapa moyo wanaCUF na wanaUKAWA kwa ujumla kuipigania demokrasia chamani CUF.
Kifanyike chochote halali uchaguzi ufanyike CUF. Kukwama kwa CUF ni kukwama kwa UKAWA na upinzani kwa ujumla. CUF ikipata doa lisilo na dua,wapinzani wote watachafuka. Wapinzani mlio kwenye UKAWA,CUF is now your burden. Hamna nafasi ya kuikwepa. Wahini kabla mambo hayajawa mengi.
Walio nyuma ya mkwamo wa CUF watapambana zaidi. Watapambana kwakuwa wana lengo. Wana lengo la kuweka pengo. Watapambana hadi kieleweke na wacheke. Waliowekwa mbele mnawajua. Walio nyuma ya hilo mtawajua. Leo nimewamegea tu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Kifanyike chochote halali uchaguzi ufanyike CUF. Kukwama kwa CUF ni kukwama kwa UKAWA na upinzani kwa ujumla. CUF ikipata doa lisilo na dua,wapinzani wote watachafuka. Wapinzani mlio kwenye UKAWA,CUF is now your burden. Hamna nafasi ya kuikwepa. Wahini kabla mambo hayajawa mengi.
Walio nyuma ya mkwamo wa CUF watapambana zaidi. Watapambana kwakuwa wana lengo. Wana lengo la kuweka pengo. Watapambana hadi kieleweke na wacheke. Waliowekwa mbele mnawajua. Walio nyuma ya hilo mtawajua. Leo nimewamegea tu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam