stunnacarter2015
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 463
- 1,287
Hahaaaa mambo ya ngoswe ukimwachia joti takadini ataangaika na watoto wa mama ntilie............
Tena ongezea na vitabu vya Zaka la Damu cha Mh. Harrison Mwakyembe, Kijiji Chetu na Kuli.Sisi wahenga tumesoma KUSADIKIKA, ZAWADI YA USHINDI, WASAKA TONGE, THE RIVER BETWEEN,THINGS FALL APART, IS IT POSSIBLE...?
Unanikumbusha story kama la la laaa, Siku ya mvua kubwa, Sekela mdadisi, dagaa ni chakula bora etcHivi vile vitabu vya wakina mzee tola yule bwege fulani aliyekula konokono kwa uchoyo au vile vya mfalme ana mapembe kuna mtu anapicha zake, sijui ilikuwa darasa la 4 vile!
Zawadi ya ushindi (Sikamona)... Hiki kitabu ni cha mtindo wa rejea... Kilinipa taabu sana kukielewaSisi wahenga tumesoma KUSADIKIKA, ZAWADI YA USHINDI, WASAKA TONGE, THE RIVER BETWEEN,THINGS FALL APART, IS IT POSSIBLE...?
Nilikisoma nikiwa form twonimesoma kitabu kimoja kinaitwa sundiata....
hicho ndo kitabu....
Ha! ha! ha! hiyo la la laa si ndio ile alichovya kidole katika kibuyu sijui cha wadudu gani!Unanikumbusha story kama la la laaa, Siku ya mvua kubwa, Sekela mdadisi, dagaa ni chakula bora etc
Ndo hivyo kumbe ulikisoma mkuu.Nilikisoma nikiwa form two
Mwaka gani\Nakumbuka Nikiwa darasa la nne nikaanza kuvisoma kwasababau shangazi yangu alikuwa anakaa nyumbani na yupo sec
baada yahapo sikuwahi kuvisoma tena hadi kesho na navikumbuka na mitihani nilivijibia murua sanaaaaaa
sikusoma The River Between cha Ngugi wa Thiong'o tu. vingine hadi leo viko mkichwa!Sisi wahenga tumesoma KUSADIKIKA, ZAWADI YA USHINDI, WASAKA TONGE, THE RIVER BETWEEN,THINGS FALL APART, IS IT POSSIBLE...?