MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,504
- 30,913
Amani iwe nanyi,
Nafuatilia mienendo ya wanasiasa, wasimamizi wa siasa na wananchi katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu, naona kama kuna hali ya kuchoshwa na amani iliyopo sasa. Vitendo vingi vinaashiria pande hizi haziko tayari kutenda haki au kuona haki inadhulumiwa.
Nikiwa kama mtanzania mpenda amani, na mwenye vitu vingi vya kupoteza, naomba niwakumbushe kwamba kwa sasa sisi watanzania hatukubaliki kwa sababu hatuku- handle issue ya corona kwa namna jamii ya kimataifa ilivyotaka. Mipaka mingi ni kama imefungwa na hakuna regular commercial airlines. Tukiitia kiberiti nchi yetu sasa tutakua wageni wa nani?
Aidha, ni jambo ambalo halikubaliki kuiweka nchi yetu rehani kwa mambo ambayo hayana umuhimu au yenye viashiria vya uroho wa madaraka. Maslahi mapana ya nchi yetu yatamalaki. Mwenye haki apewe na aliyenyimwa haki aitafute haki yake kwa njia ya amani.
Eventualities za machafuko ni nyingi na hakuna anayejua for certain fate yake itakuaje. Narudia kukumbusha huu si wakati sahihi sana wakuitia kiberiti nchi yetu
Nafuatilia mienendo ya wanasiasa, wasimamizi wa siasa na wananchi katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu, naona kama kuna hali ya kuchoshwa na amani iliyopo sasa. Vitendo vingi vinaashiria pande hizi haziko tayari kutenda haki au kuona haki inadhulumiwa.
Nikiwa kama mtanzania mpenda amani, na mwenye vitu vingi vya kupoteza, naomba niwakumbushe kwamba kwa sasa sisi watanzania hatukubaliki kwa sababu hatuku- handle issue ya corona kwa namna jamii ya kimataifa ilivyotaka. Mipaka mingi ni kama imefungwa na hakuna regular commercial airlines. Tukiitia kiberiti nchi yetu sasa tutakua wageni wa nani?
Aidha, ni jambo ambalo halikubaliki kuiweka nchi yetu rehani kwa mambo ambayo hayana umuhimu au yenye viashiria vya uroho wa madaraka. Maslahi mapana ya nchi yetu yatamalaki. Mwenye haki apewe na aliyenyimwa haki aitafute haki yake kwa njia ya amani.
Eventualities za machafuko ni nyingi na hakuna anayejua for certain fate yake itakuaje. Narudia kukumbusha huu si wakati sahihi sana wakuitia kiberiti nchi yetu