MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,262
- 1,220
Huwa kuna kishawishi kuwa Mimba ni Kama kauvimbe tu, kwa hakika hata Kama ni mimba ya siku moja, kuitoa ni dhambi na wale wote wanaoshiriki kuitoa mf. Madaktari na Wauguzi waliofanikisha Mpango huo, Mume au boyfriend aliyesupport kwa namna yoyote, wote wana hatia mbele ya Muumba.
Kila kiumbe Bila kujali hatua kilichofikia, kina HAKI ya kuishi sawa na Waliozaliwa. TULINDE NA TUTUNZE UHAI.
Kila kiumbe Bila kujali hatua kilichofikia, kina HAKI ya kuishi sawa na Waliozaliwa. TULINDE NA TUTUNZE UHAI.