Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,532
kUMBUKENI YAFUATAYO;
1. Benki kuu, BOT ilitoa tamko mabenki yoote nchini yapokee taarifa kutoka kwa wateja wao. Kuna fomu unapewa benki kwako na unajaza maelezo fulani fulani pia unaenda kwa serekali za mitaa unapata barua na kisha unarudisha kule benki.
Muda wa hili swala ulishaisha tangu January mwaka huu ila tulipewa muda wa nyongeza wa mwaka mmoja mpaka desemba hii.
Hivyo baasi deadline ya extended period ndo inaisha. Wenzangu nawakumbusha mufanye hivyo.
2. Huu ni mwezi wa mwisho, tunaiaga analogue technology katika transmission ya mambo ya TV. Kuingia digital TV transmission inabidi uwe na king'amuzi. Fasfa fasta nenda kanunue king'amuzi aka decoder; say Startimes, au Ting au chochote maana ifikapo 31st dec 2012 hutaweza kuona TV kwa kutumia antenna ya kawaida tu.
Ni hayo tu
1. Benki kuu, BOT ilitoa tamko mabenki yoote nchini yapokee taarifa kutoka kwa wateja wao. Kuna fomu unapewa benki kwako na unajaza maelezo fulani fulani pia unaenda kwa serekali za mitaa unapata barua na kisha unarudisha kule benki.
Muda wa hili swala ulishaisha tangu January mwaka huu ila tulipewa muda wa nyongeza wa mwaka mmoja mpaka desemba hii.
Hivyo baasi deadline ya extended period ndo inaisha. Wenzangu nawakumbusha mufanye hivyo.
2. Huu ni mwezi wa mwisho, tunaiaga analogue technology katika transmission ya mambo ya TV. Kuingia digital TV transmission inabidi uwe na king'amuzi. Fasfa fasta nenda kanunue king'amuzi aka decoder; say Startimes, au Ting au chochote maana ifikapo 31st dec 2012 hutaweza kuona TV kwa kutumia antenna ya kawaida tu.
Ni hayo tu