Nawakumbusha Halima Mdee na wenzake 18 muda wa kukata rufaa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA unayoyoma!

Huko ccm ndio kunawafaa,yani baba utopolo,mama,utopolo,watoto utopolo, wajukuu utopolo....huko ukiwa na akiwa zenyewe hubadilika tu unapopewa cheo.
Huyu utopolo sijui kakalia kitu kigumu anaharisha tu
.View attachment 1656798
Hii serikali yetu kila mtu ana utawala wake
Huyu awacharaze watu fimbo,
Huyu angoe pkate namba kwenye magari, huyu aseme ukikutwa hifadhi uuwawe, yaani mambo ni mengi
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Tujulishe malsahi uliyo kuwa nayo kwa hao 19.
 
Walisha hahakikishiwa kulindwa ubunge wao kwa miaka yote 5 so hilo haliwapi shida, sanasana wanachofikiria ni kwenda mahakamani ili mahakama ibariki ,maamuzi ya spika na kuzuia maamuzi ya chama!
 
Ester Matiko ametoa collabo na Aeshi..

Ambao hamjaipata nifuate inbox niwapakulie mzigo kama wote.
Rafiki naomba collabo ya Matiko na Aeshii. Hv kumbe wana mahusiano. Nimekupm umefunga.
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Ndugai ana jambo nao.
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Hayo makovid 19,hayawezi kurudi kukata rufaa,yanajua nini kitatokea,yameamua kuwa madanga ya kisiasa,wacha yakae hukohuko,ila kwenye siasa,yameishajichimbia kaburi.
 
Uchaguzi umekwisha na Chadema tumepoteza vita ya Uchaguzi Mkuu, sasa haya ni makovu tumeachwa ili yatuuwe.

Uongozi wa Chama unadhani tunaweza kupata suluhisho la hawa Wabunge bila maumivu.

Uangalifu unahitajika, kuna uwezekano suala hili la Wabunge likaharibu mahusiano na mustakabali wa uchaguzi wa wabunge wa kuchaguliwa kwa Wanawake kwa muda mrefu kuliko tunavyodhani.

Kutakuwa na kelele nyingi safari hii kina Mukya wakichaguliwa kuliko ilivyo zoeleka na kuonekana kama kitu kipya. Tusubiri tuone.
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kwanini usiwakaribishe CCM?
 
Back
Top Bottom