Nawakumbusha Halima Mdee na wenzake 18 muda wa kukata rufaa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA unayoyoma!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,512
141,240
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya Chadema iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni mtu mwema.
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya Chadema iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Ni jambo jema.
 
Hawana sababu ya kukata Rufaa, Ndugai Alishasema, atawalinda kwa ghalama yoyote ile.
 
Back
Top Bottom