Nawakubali sana Slaa na Mbowe; Mungu awape maisha marefu

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
nimejitahidi kuzuia hisia zangu imenibidi sasa niseme ukweli, hawa viongozi wakuu wa vyama vya upinzani hapa Tanzania hususani CHADEMA Dkt. Slaa na Kamanda mbowe nimeamua nijiunge Hapa JF ili namimi nionyeshe hisia zangu za dhati kuwaombea kwa mungu waishi maisha marefu na salama ili watukomboe haraka iwezekanavyo.
 
Taja walichofanya ili hoja yako iwe na maana. Isije ikawa ni sura zao tu ndio zimekuvutia
 
Taja walichofanya ili hoja yako iwe na maana. Isije ikawa ni sura zao tu ndio zimekuvutia

Ina maana hujui mpaka leo hao watu wamefanya nini mpaka leo hii? Upo nchi gani? Kama ni Zambia au Malawi ni sawa wewe kuhoji hivyo.

Juma Kilowoko ni Sajuki msanii au ni jina tu?
 
Vijana naona 'ideas' zimewaishia sasa mnafuka moshi mchafu tuu! No wonder hii nchi ni maskini!
 
Hata mimi namkubali sana DK.SLAA kwa kumuondoa kazini kamanda Mwigamba aliyekuwa mwasibu mkuu chadema makao makuu na nafasi yake akampa mchumba wake josephine maana Josephine alikuwa anategemewa sana na UN kuhusu mambo ya accountant so kipaji kilikuwa kinafia kitandani!

Pia namkubali sana Slaa kwa kumwambia Chiku Abwao akikopeshe chama milion 5 kwa ajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa wa Iringa na akampa mamlaka ya kusimamia uchaguzi huo na kumruhusu Chiku mwenyewe kuwa mgombea wa uenyekiti wa mkoa na mwisho Chiku kushinda kiti hicho!

Tunashukuru busara za kamati kuu ya mwisho wa mwezi wa4 kutengua uamuzi huo ambao wajumbe wa cc waliconclude kwamba Dk. Slaa hafai hata kuwa kalai wa hospital ya kata!
 
Taja walichofanya ili hoja yako iwe na maana. Isije ikawa ni sura zao tu ndio zimekuvutia


Si vibaya tukimsaidia kuona hata kama mwenye macho haambiwi tazama. Wanaongoza na kusimamia siasa za vuguvugu la kusaka mabadiliko ya kweli, kimfumo na kiutawala nchini. Wameshaweza kuonesha hilo pasi na shaka yoyote. Wakiwaongoza makamanda wengine pamoja nao katika safari hii ngumu lakini ambayo imeshaanza kuonesha mafanikio.

Mojawapo ya mafanikio hayo ni kuwajengea Watanzania uthubutu wa kudai mabadiliko, kupigania haki, kudai uwajibikaji wa serikali na watawala kwa wananchi, lakini kubwa zaidi ni kuwaonesha Watanzania KUWA INAWEZEKANA, TUNAWEZA TUKIAMUA, Kwani mamlaka yote ya uendeshaji na usimamiaji serikali na kuongoza nchi yanatoka kwa umma. Na hii ndiyo mahakama kuu kuliko zote.
 
nimejitahidi kuzuia hisia zangu imenibidi sasa niseme ukweli, hawa viongozi wakuu wa vyama vya upinzani hapa Tanzania hususani CHADEMA Dkt. Slaa na Kamanda mbowe nimeamua nijiunge Hapa JF ili namimi nionyeshe hisia zangu za dhati kuwaombea kwa mungu waishi maisha marefu na salama ili watukomboe haraka iwezekanavyo.

Umenena vyema sana kiongozi. Imefika muda sasa hawa viongozi vilaza Tanzania wapumzike maana hawana hoja nyingine zaidi, kazi yao kubwa ni kuchochea vuruguna hatimaye watu wanakufa(Arusha).
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Jenga hoja za kwanini unawakubali ili topic iwe more precious.
Mimi namkubali sana kamanda Mbowe kwa kuwahadaha watanzania kwa kitendo chake cha kurudisha gari la kambi rasmi ya upinzani (kub) kwa mbwembwe nyingi mbele ya waandishi wa habari kama Tumaini makene na kulichukua tena kimyakimya!
 
Hata mimi namkubali sana DK.SLAA kwa kumuondoa kazini kamanda Mwigamba aliyekuwa mwasibu mkuu chadema makao makuu na nafasi yake akampa mchumba wake josephine maana Josephine alikuwa anategemewa sana na UN kuhusu mambo ya accountant so kipaji kilikuwa kinafia kitandani!

Pia namkubali sana Slaa kwa kumwambia Chiku Abwao akikopeshe chama milion 5 kwa ajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa wa Iringa na akampa mamlaka ya kusimamia uchaguzi huo na kumruhusu Chiku mwenyewe kuwa mgombea wa uenyekiti wa mkoa na mwisho Chiku kushinda kiti hicho!

Tunashukuru busara za kamati kuu ya mwisho wa mwezi wa4 kutengua uamuzi huo ambao wajumbe wa cc waliconclude kwamba Dk. Slaa hafai hata kuwa kalai wa hospital ya kata!

JOSEPH KONI ni PM ili niwataaarifu askari wa museveni wakutie mbaroni na mie nipate zawadi:angry:
 
Hii mada ingeenda jukwaa la mapenzi maana haina uhusiano na siasa hata kidogo!
 
Hata mimi namkubali sana DK.SLAA kwa kumuondoa kazini kamanda Mwigamba aliyekuwa mwasibu mkuu chadema makao makuu na nafasi yake akampa mchumba wake josephine maana Josephine alikuwa anategemewa sana na UN kuhusu mambo ya accountant so kipaji kilikuwa kinafia kitandani!

Pia namkubali sana Slaa kwa kumwambia Chiku Abwao akikopeshe chama milion 5 kwa ajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa wa Iringa na akampa mamlaka ya kusimamia uchaguzi huo na kumruhusu Chiku mwenyewe kuwa mgombea wa uenyekiti wa mkoa na mwisho Chiku kushinda kiti hicho!

Tunashukuru busara za kamati kuu ya mwisho wa mwezi wa4 kutengua uamuzi huo ambao wajumbe wa cc waliconclude kwamba Dk. Slaa hafai hata kuwa kalai wa hospital ya kata!

tuntemeke at work..KAKA TUMEKUCHOKA.Unakuja na ID tofauti kupalilia ela ya nape.jaribu kazi nyingine kama umekosa nafasi CDM,Huwa hatuwabebi wasiokuwa na uchungu na wapigakura.
 
Hata mimi namkubali sana DK.SLAA kwa kumuondoa kazini kamanda Mwigamba aliyekuwa mwasibu mkuu chadema makao makuu na nafasi yake akampa mchumba wake josephine maana Josephine alikuwa anategemewa sana na UN kuhusu mambo ya accountant so kipaji kilikuwa kinafia kitandani!

Pia namkubali sana Slaa kwa kumwambia Chiku Abwao akikopeshe chama milion 5 kwa ajili ya uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa wa Iringa na akampa mamlaka ya kusimamia uchaguzi huo na kumruhusu Chiku mwenyewe kuwa mgombea wa uenyekiti wa mkoa na mwisho Chiku kushinda kiti hicho!

Tunashukuru busara za kamati kuu ya mwisho wa mwezi wa4 kutengua uamuzi huo ambao wajumbe wa cc waliconclude kwamba Dk. Slaa hafai hata kuwa kalai wa hospital ya kata!

Umeona ukianzisha thread za ***** wako zinatupiliwa mbali hivi sasa umekuja kivingine kwa kuingia katikati ya thread.. TUNTEMEKE unakazi sana mwaka huu.
 
Umenena vyema sana kiongozi. Imefika muda sasa hawa viongozi vilaza Tanzania wapumzike maana hawana hoja nyingine zaidi, kazi yao kubwa ni kuchochea vuruguna hatimaye watu wanakufa(Arusha).
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

wewe mzima kweli? Ama kichaa,hueleweki
 
Mimi namkubali sana kamanda Mbowe kwa kuwahadaha watanzania kwa kitendo chake cha kurudisha gari la kambi rasmi ya upinzani (kub) kwa mbwembwe nyingi mbele ya waandishi wa habari kama Tumaini makene na kulichukua tena kimyakimya!

Utakuwa una chuki binafsi tu wewe, hushangai wenzako wote wanaunga mkono hoja?...utakuwa magamba tu wewe..
 
JOSEPH KONI ni PM ili niwataaarifu askari wa museveni wakutie mbaroni na mie nipate zawadi:angry:
Hana u koni wwte huyo ni gamba tu!..mwache aende zake huko...hakuna kama SLAA bana...
 
Umeona ukianzisha thread za ***** wako zinatupiliwa mbali hivi sasa umekuja kivingine kwa kuingia katikati ya thread.. TUNTEMEKE unakazi sana mwaka huu.

Hana UTUNTEMEKE wowote huyu amedandia hoja tu hapa...shame on....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom