TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
nimejitahidi kuzuia hisia zangu imenibidi sasa niseme ukweli, hawa viongozi wakuu wa vyama vya upinzani hapa Tanzania hususani CHADEMA Dkt. Slaa na Kamanda mbowe nimeamua nijiunge Hapa JF ili namimi nionyeshe hisia zangu za dhati kuwaombea kwa mungu waishi maisha marefu na salama ili watukomboe haraka iwezekanavyo.