Na pichu zao huwa wanaziacha sekenkeee.
wengi wa wanaotoka Singida wamekeketwa. Ili afike inabidi uwe umejiandaa vyakutosha.
Kweli mazee......Nice thread ,stupid responses. Jifunzeni hata kuelewa.
hapana mkuu,tunawasifu.mhhhhhhhhhhhhh! Hapa natukaniwa dada zangu live live! Khaaaa!
kilimanjaro-wachaga wako juu ajabu....................wanajituma nyumbani na njiani
Wamakonde ni noma...... Shemeji yenu yupo huko, mtoto kiuno bila mfupa, mtoto anajua kunitunza. Kudadadadadadeki ni noma. Nakubaliana na wewe.
kweli kabisa kitandan wapo juu ila kimaisha ni ZERO THINKERZ
Hapo mwake mwake....Mmmmh hao MONEY ORIENTED mi sina hamu nao kitu nyamwezi,sukuma and Hehe are good options to marry
Hao kweli wapo juu.Wamakonde ni noma...... Shemeji yenu yupo huko, mtoto kiuno bila mfupa, mtoto anajua kunitunza. Kudadadadadadeki ni noma. Nakubaliana na wewe.
Ukweli ni upi?acheni uongo!
ahhh wewe, shemeji yako sio zero thinker. Yeye pande zote ana sifa..