nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,159
- 691
Habari wadau!
Kuna misemo mingi sana wahenga wamesema lakini huu ni kiboko,
"Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu",yani kuna watu
Huwa wanajisifu wao ni mahodari
Wa kuacha wenza wao,utasikia mmi
Huwa siachi bali huwa na acha.
Sasa subiri na yeye siku akiachwa anavyoumia utafikiri mchezaji wa mpira aliyejifunga goli siku ya fainali,Kweli "Mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu",kuna ex wangu niliwahi kutaka kumuoa akanikataa eti kisa alipata mzungu
Wa kijerumani,alifikiri wazungu huwa hawaachi,sasa mzungu naye
Kamuacha kwenye mataa,aisee ex wangu amekonda ghafla na kufubaa
Kama Bibi,"what goes around,comes round",aisee atanisamehe tu kama yupo humu,ila ujumbe umefika.
Tamaa wanawake zinawaponza sana,",Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu Mchungu",sasa hivi
Mmi nakula bata ngoja nayeye
Apitie yale machungu niliyopata
Kiplindi aliponiacha"karma is the
bitch",hahahhh!,
Kuna misemo mingi sana wahenga wamesema lakini huu ni kiboko,
"Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu",yani kuna watu
Huwa wanajisifu wao ni mahodari
Wa kuacha wenza wao,utasikia mmi
Huwa siachi bali huwa na acha.
Sasa subiri na yeye siku akiachwa anavyoumia utafikiri mchezaji wa mpira aliyejifunga goli siku ya fainali,Kweli "Mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu",kuna ex wangu niliwahi kutaka kumuoa akanikataa eti kisa alipata mzungu
Wa kijerumani,alifikiri wazungu huwa hawaachi,sasa mzungu naye
Kamuacha kwenye mataa,aisee ex wangu amekonda ghafla na kufubaa
Kama Bibi,"what goes around,comes round",aisee atanisamehe tu kama yupo humu,ila ujumbe umefika.
Tamaa wanawake zinawaponza sana,",Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu Mchungu",sasa hivi
Mmi nakula bata ngoja nayeye
Apitie yale machungu niliyopata
Kiplindi aliponiacha"karma is the
bitch",hahahhh!,