Ninaposema maandamano na migomo ni haki yetu wala tusiiogope.
Uthibitisho utaupata hata kwa hawa watoto wa mafisadi uvccm wanaposhindwa kuwashawishi baba zao ili wapate haki zao na kuamua kuchukua njia sahihi za kudai haki ambapo ni maandamano na migomo.
Cha kujifunza ni kwamba kama baba ameshindwa kumsikiliza mwanae aliye nae nyumbani ambao wanaamka pamoja na kula pamoja wewe mwanafunzi wa udsm,udom,mzumbe,sua,na vyuo vingine mtasikilizwaje?
Nimesoma tangu o level mpaka chuo kikuu nilishiriki migomo ndipo nipewe haki. Lakini pia hakuna mgomo usiokuwa na impact. Nasisitiza sana wanafunzi vyuoni tugomeni nitawaunga mkono kama ilivyo ada kwangu.
Uthibitisho utaupata hata kwa hawa watoto wa mafisadi uvccm wanaposhindwa kuwashawishi baba zao ili wapate haki zao na kuamua kuchukua njia sahihi za kudai haki ambapo ni maandamano na migomo.
Cha kujifunza ni kwamba kama baba ameshindwa kumsikiliza mwanae aliye nae nyumbani ambao wanaamka pamoja na kula pamoja wewe mwanafunzi wa udsm,udom,mzumbe,sua,na vyuo vingine mtasikilizwaje?
Nimesoma tangu o level mpaka chuo kikuu nilishiriki migomo ndipo nipewe haki. Lakini pia hakuna mgomo usiokuwa na impact. Nasisitiza sana wanafunzi vyuoni tugomeni nitawaunga mkono kama ilivyo ada kwangu.