Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,473
Wabamiza milango mnazingua.
Tunajirekebisha tusiharibu aiestiii zenu
Wabamiza milango mnazingua.
🤣👇duh mbona maneno makali sana ndugu?
Unamiliki IST tayari unatembea na panga je ungemiliki BMW X6 si ungetembea na kifaru 😂 😂 😂 😂😂😂
Huyu mama sina neno nae ila ni mchagga
Hayajakukuta chiefduh mbona maneno makali sana ndugu?
Unamiliki IST tayari unatembea na panga je ungemiliki BMW X6 si ungetembea na kifaru
Mtu asikuletee umwamba ajione yeye mjanja we ndiyo fala how come unaenda nae sawa tuUnakuwa haujajitofautisha na huyo Bodaboda
Kuna level ukifika wala huna haja ya kuwa provoked na vitu vyepesi kama hivyo
Ilikua Kenya Inasemekana bodaboda alimzingua bi mkubwa, wengine wanasema aliigonga gari yake akaamua kushuka na rungu wayamalizeNini kimetokea hapa?
Hao wenzio hawana cha kupoteza. Be calm wapuuze.Hayajakukuta chief
Unaweza kuwa umekosewa na katika kutaka suluhu ukaletewa unyonge vilevile
nikiwa na x6 sitakosa kwaju
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mtu asikuletee umwamba ajione yeye mjanja we ndiyo fala how come unaenda nae sawa tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hata hivyo kuna siku moja moja utavaa ndala na siku nyingine utavaa viatu. Kwa watu wasiokuwa na uwezo ndio uwa wanajimwambafy sana na vitu kama magari. Mie wala sijali kwa kuwa najua nilichonacho na naishi kama nitakavyo.Ukinunua viatu vizuri ukaweka kwenye kabati kisha ukavaa ndala miba na vyupa vitakuchoma tu bila kujali una viatu nyumbani.
Mkuu hata wewe haya maneno yako kuna atasema unajimwamafyHata hivyo kuna siku moja moja utavaa ndala na siku nyingine utavaa viatu. Kwa watu wasiokuwa na uwezo ndio uwa wanajimwambafy sana na vitu kama magari. Mie wala sijali kwa kuwa najua nilichonacho na naishi kama nitakavyo.
Naipenda Vitz kwa kuwa iko economy kwenye mafuta na parking mjini ni rahisi sana. Nikitaka kwenda safari ya mbali nitatumia gari kubwa au kama kuna issue ninakutana na watu tuna bargain nitakuja kibosi bosi na ndinga kubwa. Ila kama naenda kazini kikawaida, au nina mishe tu za kawaida natumia Vitz kusave mafuta ingawa nayo pia sio issue kivile ila nina akili ya kijasiliamali
Mie naongea kueleza uhalisia wa mambo na nasimama wanaoendesha Vitz ambao wanadharauliwa sana.Mkuu hata wewe haya maneno yako kuna atasema unajimwamafy
Bora huyo mwanasiasa. Kuna yule mama mkwe umempakia unampeleka CCBRT kucheki vijicho vyake vibovu kwa pesa zako. Upo unahangaika kunyata kwenye mashimo na ki-IST chako, linapita V8 , linafukia makorongo likinesanesa. Vruum! Vruuum! Ndukii! Basi mmama unamsikia "mwanaume huyo!" Inakera sana aisee! Eeeh! Tutafute pesa jamani.Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Kwa watu wasiokuwa na uwezo ndio uwa wanajimwambafy sana
ninakutana na watu tuna bargain nitakuja kibosi bosi na ndinga kubwa.
Nadhani tumeelewana sasa yaani.Naipenda Vitz kwa kuwa iko economy kwenye mafuta.
Dah hiyo engine anaitesa mno! Yani anaichosha vibaya sana kwa upumbavu tu.Hahahaaa kuna jamaa ni TISS yaani yeye akija hata bar kunywa gari yake aizimi anaacha inaunguruma mpaka amalinze kunywa au kula! Huwa najiuliza kama anaiga viongozi wa serikali wanavyofanya kwenye mafuta ya bure ina maana akiwa nyumbani kwake gari nayo haizimi au mwembewe/showoff?
Mlango wa mkoloni si mzito? Acha waubamize...Wabamiza milango mnazingua.