Hapahapa dar city.. tabataIko kijiwe lazima kitakuwa kiko mkoani tu mkuu.
Vinaenda pamoja. Demu wako alishobokea gari nilioazima.
65Hivi una miaka mingapi mkuu?....teenage i guess?
Cheka unenepe insta babeNimecheka sana
Nifanyeje Sasa ili nisiwe mjinga naomba unisaidieSikutegemea kama unaujinga mwingi kiasi hiki
hivi upooooo?Nimecheka sana
Hahahahahaaaa....Yaaani nimecheekaaaHiyo ya kuingiza buku 7 umewadanganya nusu. Unaingiza buku 7 kutoka Lumumba.