Nawachukia wanaume wachafu

Asante, nilikuwa nakuna kichwa hapa kutafuta jibu zuri la kumpa ila nilivyokutana na hii comment yako nimehairisha.
Wewe kwangu umejiwekea ratiba gani hadi mimi nijiwekee ratiba ya kufanya usafi kwako
 
Muoneshe mme au mpenzi wako the meaning of wewe kwake, ukifanya usafi na ukapanga vitu vizuri unaonesha umhimu wako wake. Note mimi ajifanyia usafi mwenyewe, mpenzi au mchumba tukutane lodge
Wewe kwangu umejiwekea ratiba gani hadi mimi nijiwekee ratiba ya kufanya usafi kwako
 
Jamani kuna wanaume wachafu sana .
Nakumbuka nilikuwa na boyfriend wangu mmoja hivi.

Huyo kaka ni mchafu kuanzia juu mpaka chini mpaka na geto aliloko.

A)boxer jamani ni chafu mpaka basi hanyoi kabisa huko yaani mpaka akiivua inatoa vumbi.

Sasa inanuka mpaka aa huitaji kuinusa akikaa hivi kama harufu ya pilau la nyama linaloiva .

Inanuka sana .
Halafu fulana unakuta ni kanunua nyeupe ila imekuwa brown kwa uchafu.
B)VIATU

jamani wadau viatu ni vinanuka mpaka watu wakaribu wanamuhama .

Je hizo soksi akizivua jamani utaomba ufe kwanza ndio ukae hapo karibu yake.

C)nyumba niliendaga kwake hata dirisha hafungui kuna uvundo wa hatari ukikaa kwenye kochi au ukikaa kwenyw kitanda ni vumbi yaani ukifunua shuka na godoro ni jeusi yaani kama mkaa.

Maforonya ni meusi katupa vitu vinanata jamani huu ni uchafu eti.

Wanaume jamani wenye hizi tabia sio nzuri maana mwenzenu tulimlewwaha ndio akasafishwa huko pakae vyema nihistoria jamani kuwa mchafu nayo ni kipaji.
Ulishindwa kuisimamia sehemu yako kwake mkuu.
 
Ulishindwa mkuu,
Endapo ungeamua kumbadilisha leo hii usingeandika uzi kama huu.
Wahenga wanasema kisicho chako sio riziki huenda ningemtoa kwenye ukiritimba ila kwa maana hajaniona angeenda kuoa mwingine hapo kingeniuma so ukiona mtu sio msafi kwa kitu fulani mwache tu nenda mpaka ukute mtu sahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom