kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Kwakweli hawa watu nawachukia sana ndani ya moyo wangu wote. Hospital ya serikali ,vitanda vya serikali, dawa za serikali + mnalipwa pesa nzuri tu . BADO MNATAKA RUSHWA TENA KWA WAGONJWA MAHUTUTI, polisi nao wamegeuza uniform zao na ofisi kuwa vijiwe vya kujipatia hela. Moyo unaniuma sana.