Aunty kemmy
Member
- Dec 13, 2013
- 46
- 21
Nimekuwa nikivutiwa sana kuwa na mume wa mtu kuliko wale ambao hawajaoa. Hata ambao wananitongoza wengi ni waume za watu. Nina date mume wa mtu na nampenda sana.
Yan mwanaume akija kunitongoza nikigundua sio mume wa mtu napoteza hamu ya kuwa nae. Nishawahi kuwa na ambao hawajaoa nimeishia kuachana nao tu lakini mume wa mtu huyu sijawahi kufikiria kumuacha, hata bikra nilitolewa na mume wa mtu.
Sasa tunakuja kwenye ukweli, sio kwamba napenda kuwa hivi ila ndo nilivo na ninaona ni tatizo kubwa sema ndo sijui nifanyeje ili niache hii tabia.
Yan mwanaume akija kunitongoza nikigundua sio mume wa mtu napoteza hamu ya kuwa nae. Nishawahi kuwa na ambao hawajaoa nimeishia kuachana nao tu lakini mume wa mtu huyu sijawahi kufikiria kumuacha, hata bikra nilitolewa na mume wa mtu.
Sasa tunakuja kwenye ukweli, sio kwamba napenda kuwa hivi ila ndo nilivo na ninaona ni tatizo kubwa sema ndo sijui nifanyeje ili niache hii tabia.