maamuzi sahihi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 288
- 165
Hili ndo jibuJaribu kuwaza kununua nguo ya mtumba au kununua first class dukani nin ni bora kwako.
What i know everthing has price so possibly price yako wewe ni hyo.
Hili ndo jibuJaribu kuwaza kununua nguo ya mtumba au kununua first class dukani nin ni bora kwako.
What i know everthing has price so possibly price yako wewe ni hyo.
hakuna kukaa kimya...hapa USHAURI KUSUTWA NA MENGINE UTAPATA TU......Nimeomba ushauri sio kusutwa.uwezi kushauri kaa kimya
ushau
Asiye na mke akiwa na mabibi wengine ni risk you don't know about but putting your self at the risk you are aware with, it's some thing else.Kwani hata asiye na mke hawezi kuwa na mabibi wengi? Halafu swala la condom ni maamuzi yetu wanaume wanawake wapo free.
Asiye na mke akiwa na mabibi wengine ni risk you don't know about but putting your self at the risk you are aware with, it's some thing else.
No comment mkuu, ARV's zipo.sasa unasema watu watumie kondom kwa michepuko? Ni wazo zuri ila asilimia kubwa ya watu walio na michepuko kwanza wamezaa nayo ,pili wanatoa hela na hawataki condom.Its always simple like that.!!!!
No comment mkuu, ARV's zipo.
Hayo ma D D ndio nini? Kuuliza c ujingauwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Una pepo. Ngoja nikukemee. "Ewe pepo upendae waume za watu toka kwa jina la yesu".Nimekuwa nikivutiwa sana kuwa na mume wa mtu kuliko wale ambao hawajaoa. Hata ambao wananitongoza wengi ni waume za watu. Nina date mume wa mtu na nampenda sana.
Yan mwanaume akija kunitongoza nikigundua sio mume wa mtu napoteza hamu ya kuwa nae. Nishawahi kuwa na ambao hawajaoa nimeishia kuachana nao tu lakini mume wa mtu huyu sijawahi kufikiria kumuacha, hata bikra nilitolewa na mume wa mtu.
Sasa tunakuja kwenye ukweli, sio kwamba napenda kuwa hivi ila ndo nilivo na ninaona ni tatizo kubwa sema ndo sijui nifanyeje ili niache hii tabia.