mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,263
- 44,746
WENYE umri huo wengi wanakuwa wanene.
Mjinga Mimi acha uzinzi hahahahhaah et wanakuwaga na matako lain
Mjinga Mimi acha uzinzi hahahahhaah et wanakuwaga na matako lain
Dogo ame respond vipi?Jamani nimepata kiben ten....Ngoja nikufuate PM
Ushindwe pepoooNampenda PADRE!!!
Kule kwenye kingreza nimeshindwa manake ulimi mzitoUmeshabalehe? Unapenda kulelewa? Afu "unalizika"ndiyo nini sema naridhika bana
Hahaa ulimi unakua kama umeuweka gundi 😀😀 njoo tujitahidi hivo hivo mkuu one day yes.Kule kwenye kingreza nimeshindwa manake ulimi mzito
Vijana wanataka za wakubwa, ila nakubaliana nao coz hata mimi pamoja na uzee huu kwa binti wa 20s siwezi.
Huko niwaachie nyie, mimi najitahidi kiswahili changu kikae vizuri kwanza.Hahaa ulimi unakua kama umeuweka gundi njoo tujitahidi hivo hivo mkuu one day yes.
Kwahiyo nawewe unapenda watu wazima aka wabibi? Kwanini hutaki vibinti vibichi?
Why? They are human beings, not castrated mbona sasa.Ushindwe pepooo
Mmh kaongo you're of same age? Nakuhisigi ni kijana mdogo kawaida tu eti. Maybe nakukosea na kwanini ushawahi kupata usumbufu kwa hao under 32?Huko niwaachie nyie, mimi najitahidi kiswahili changu kikae vizuri kwanza.
Kwangu kuwa na mtu mzima ni sawa coz I'm also of the same age group, hao vijana wa 20s wanaotaka kulala na wadada wa 40s ndio tuwamulike tochi, binafsi chini ya 32 sitaki.
Umenisoma vibaya nadhani, nishapitaga ujana mda sana. Naukaribia uzee, so nadeal na wadada wakubwa.Mmh kaongo you're of same age? Nakuhisigi ni kijana mdogo kawaida tu eti. Maybe nakukosea na kwanini ushawahi kupata usumbufu kwa hao under 32?
Njoo kule utusaidie kuimprove the language na uko vizuri(fluent) ila basi unatuchora tu siye beginners
PADRE.Ndio nani
Tangazo la biashara hilo, kwani wewe hujui?Ok baada ya maelezo yako unataka tukushauri nini?tukupigie makofi au tusikitike?