Navumilia mateso ya moyo kwaajili ya mtoto wangu

265c213d30f0004fb5a3a2d3ad60653e.jpg
b869699befebc2251ba14f48b5186dfd.jpg
Kwa nn umekubali kumkubalia arud hata kama unahasira?? Niliwah kusema juz kati katk uzi wa Godzilla anateseka baada ya kuachwa na demu wake,na nikasema kabsa anaeachwa ana afadhali zaid kuliko anaeacha,,kuachwa ni bora kuliko kuacha,,sasa wewe ulishakua bora ila ubora wako umeutupa na kuamua kumkubalia,,,.Hiv unadhan wewe ndio unampa huyo mtoto maisha?wengi mmekwama mahal na mnateseka ndank ya mioyo yenu kwa kuamin ujinga unaoaminishwa na jamii kwamba mtoto ndio sababu inafanya niishi nae japo simpend mwenzangu,,are you serious man?hujui una maisha yako? Hujui hyo mwanamke ana maisha yake? Hujui huyo mtoto ana maisha yake?baada ya kushindana tabia kwa hyo mtoto ndio msuluhishi anaefanya mrudiane?ujinga ila nikuambie tu kosa ulilofanya litakuumiza kuliko mwanzo,,mwanaume shupavu,anaeelewa maisha na thaman ya akili yake akiachwa harudiii kwa mwanamke yule yule,,mtu anaejielewa hawez kurudia alipoachwa,tena kumwonyesha wewe ni kidume ungemwambia kaa hapa mimi niondoke,we ishi hapa na mwanao mi nasepa zangu kuanza maisha popote.

UTAUMIA ZAID KULIKO MWANZO TUPO HAPA NA USHAHID UTAKUJA MWENYEWE KUUSEMA JAMVINIB JF.

USISAHAU WANAOPENDANA KWA DHATI HUA HAWAACHANI ASILAN
Hichi ulichokiongea ni tofauti na story yangu, nafikili ujaelewa story yangu na sidhani kama utaelewa hata nikichukua time nikueleweshe nilichomaanisha.. Msalimie Godzila mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hivi huwa haiwezekani watu kujifunza kutokana na makosa? Mbona kila mtu anamuhukumu huyo dada? Hii ni story ya upande mmoja, its seems there is more to it kuliko hayo tuloambiwa.

Hata kama, kwanini kama kajifunza kosa lake, akakiri na kuomba msamaha then akajirekebisha asisamehewe?
Ana kiri baada ya kushindwa alipopaamini,kwangu sikupokei asilan
 
We unaachwa na mwanamke halafu anarud unampokea sijaelewa kip ktk uzi wako,,Godzilla nimekupa mfano tu nilichokichangia kwenye uzi ule haihusiani na uzi wako,,ila umeachwa na talaka ukatoa sasa amekujia unamkubali

ULOFA HAUWEZI KWISHA MJIN
 
Usikimbie kivuli chako mkuu,,,
Wala sikimbii kivuli changu, najaribu kukumbusha mm na Godzila story zetu hazifanani.. Unawaamini sana hawa Bongo fleva sio? Unaweza kukuta ni Kick ya ngoma yake mpya... Kwangu mm ni kitu cha kweli kimenitokea na hakuna nimeonesha nasumbuliwa na penzi... Tujifunze kuelewa na sio kuelewa tu na kuchangia cha kuchangia kama unacho cha kuchangia., kama chakuchangia huna basi unapita kama kipunga cha Escrow mzazi.....
 
We in mjinga wa kwanza. Umepigwa kibuti ukivyoanza kumudu anarudi unakubali ? Umeonja sumu lazima ikuuwe

Mkuu jamaa hata sio mjinga. Kila mtu anampenda mtoto wake, lakini kuna watu ambao upendo wao kwa watoto wao ni zaidi ya kupenda, unajikuta unampenda mtoto hadi unaogopa kufanya kitu chochote ambacho kitamuathiri mtoto kwa namna yoyote ile.

Jamaa namuelewa sana, maana I know how it feels.
 
Wala sikimbii kivuli changu, najaribu kukumbusha mm na Godzila story zetu hazifanani.. Unawaamini sana hawa Bongo fleva sio? Unaweza kukuta ni Kick ya ngoma yake mpya... Kwangu mm ni kitu cha kweli kimenitokea na hakuna nimeonesha nasumbuliwa na penzi... Tujifunze kuelewa na sio kuelewa tu na kuchangia cha kuchangia kama unacho cha kuchangia., kama chakuchangia huna basi unapita kama kipunga cha Escrow mzazi.....
Hakuna aliekuita godzilla,,wala wewe sio godzilla ila hujaelewa kwa nn nilitumia godzilla...ukishaelewa hapo utakua umenielewa.

Pili cha kwako sio kisa ni tu bali ni mkasa wa kuachwa na mke tena kwa kujaziwa watu,na mbaya zaid na talaka ukatoa mbaya zaid amerud na unaishi nae kisa ana mtoto ggggggghhhhhh ANAEACHWA ANA FAIDA KULIKO ANAEACHA,,,KUACHWA NI BORA KULIKO KUACHA,,ULIKUA BORA KUACHWA SASA UMEKUA kilaza KUBEBA MSALABA UNAOKUUMIZA
 
Mkuu inaelekea bado unampenda alafu kigezo cha kuficha upendo na kujifariji ni mtoto atateseka... anaepanga mateso na furaha ya mtoto ni Mungu tu.. labda huo ni mtihani wako.. ukilegeza utafeli mkuu... unazidi kujipa stress, chuki na hatimae utapata magonjwa yasio na tija na yakujitakia... unajinyima furaha na kujipa stress ya lazma
 
Mkuu inaelekea bado unampenda alafu kigezo cha kuficha upendo na kujifariji ni mtoto atateseka... anaepanga mateso na furaha ya mtoto ni Mungu tu.. labda huo ni mtihani wako.. ukilegeza utafeli mkuu... unazidi kujipa stress, chuki na hatimae utapata magonjwa yasio na tija na yakujitakia... unajinyima furaha na kujipa stress ya lazma
kula gwala
 
Mkuu inaelekea bado unampenda alafu kigezo cha kuficha upendo na kujifariji ni mtoto atateseka... anaepanga mateso na furaha ya mtoto ni Mungu tu.. labda huo ni mtihani wako.. ukilegeza utafeli mkuu... unazidi kujipa stress, chuki na hatimae utapata magonjwa yasio na tija na yakujitakia... unajinyima furaha na kujipa stress ya lazma
Ni mawazo pia....
 
Mkuu jamaa hata sio mjinga. Kila mtu anampenda mtoto wake, lakini kuna watu ambao upendo wao kwa watoto wao ni zaidi ya kupenda, unajikuta unampenda mtoto hadi unaogopa kufanya kitu chochote ambacho kitamuathiri mtoto kwa namna yoyote ile.

Jamaa namuelewa sana, maana I know how it feels.
Ujifunze kuvumilia kwani in wa Dawa ?
 
Mkuu jamaa hata sio mjinga. Kila mtu anampenda mtoto wake, lakini kuna watu ambao upendo wao kwa watoto wao ni zaidi ya kupenda, unajikuta unampenda mtoto hadi unaogopa kufanya kitu chochote ambacho kitamuathiri mtoto kwa namna yoyote ile.

Jamaa namuelewa sana, maana I know how it feels.
Ujifunze kuvumilia kwani in wa Dawa ?
 
Hakuna aliekuita godzilla,,wala wewe sio godzilla ila hujaelewa kwa nn nilitumia godzilla...ukishaelewa hapo utakua umenielewa.

Pili cha kwako sio kisa ni tu bali ni mkasa wa kuachwa na mke tena kwa kujaziwa watu,na mbaya zaid na talaka ukatoa mbaya zaid amerud na unaishi nae kisa ana mtoto ggggggghhhhhh ANAEACHWA ANA FAIDA KULIKO ANAEACHA,,,KUACHWA NI BORA KULIKO KUACHA,,ULIKUA BORA KUACHWA SASA UMEKUA kilaza KUBEBA MSALABA UNAOKUUMIZA
Ndo maana nikasema ujaelewa kitu ni vyema ukasoma tena....,

SIJARUDI, YEYE NDO KARUDI.. uko under 20...? Napata shaka kidogo
 
  • Thanks
Reactions: Pep
We unaachwa na mwanamke halafu anarud unampokea sijaelewa kip ktk uzi wako,,Godzilla nimekupa mfano tu nilichokichangia kwenye uzi ule haihusiani na uzi wako,,ila umeachwa na talaka ukatoa sasa amekujia unamkubali

ULOFA HAUWEZI KWISHA MJIN
Naona mjomba una ligi za mbuzi, hongera katika hilo....

Kuwa uyaone...
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Ndo maana nikasema ujaelewa kitu ni vyema ukasoma tena....,

SIJARUDI, YEYE NDO KARUDI.. uko under 20...? Napata shaka kidogo
Kweli we kilaza,,karud anaishi na jini au wewe?kurud yeye sio ishu ishu ni wewe kukubali yeye arud ndio ukilaza wako ulipo,,subir sindano zikuingie ili siku nyingine demu akikuambia naondoka,pigana kiume asiondoke ila akilazimsha mwache aende na akirud usimkubalie kwa machoz hata ya damu usimkubalie asilan,, soma uelewe
 
Tunaelekezana kila siku humu msifanye mapenzi ya pesa na kuwapa kila kitu wanawake mwisho wa siku wataishia kuwa dharau ila mnaungana wanaume wajinga wachache kuwasaport wanawake wa Jf foram kwamba mwanaume bila pesa huwezi kupendwa matokeo yake mna invest kwenye mapenzi ya kumpa pesa mwanamke zikiisha ndo hayo yanatokea...nakushukuru wewe uliye na moyo wa kuuza furaha yako kisa mtoto wako asiteseke ingawa kumrudisha mwanamke nyumban ni km umeleta mkosi bora uchukue mwanao lasivyo anakuja kukubomoa tena na kuondoka...
 
Tunaelekezana kila siku humu msifanye mapenzi ya pesa na kuwapa kila kitu wanawake mwisho wa siku wataishia kuwa dharau ila mnaungana wanaume wajinga wachache kuwasaport wanawake wa Jf foram kwamba mwanaume bila pesa huwezi kupendwa matokeo yake mna invest kwenye mapenzi ya kumpa pesa mwanamke zikiisha ndo hayo yanatokea...nakushukuru wewe uliye na moyo wa kuuza furaha yako kisa mtoto wako asiteseke ingawa kumrudisha mwanamke nyumban ni km umeleta mkosi bora uchukue mwanao lasivyo anakuja kukubomoa tena na kuondoka...
Naweza jaribu kusema nimekuelewa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom