Plot4Sale Nauza viwanja vyangu vilivyopimwa Madale Mivumoni kwa bei nafuu

Aug 20, 2016
9
2
Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.

Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo kitongoji cha madale mivumoni.

Jumla ya viwanja vipo kumi na tatu(13), vyote vina nyaraka muhimu ikiwemo hati ambayo ipo kwenye process ardhi.

Nikiwa na maana, endapo mtu atanunua, hati itatoka kwa jina lake, nimeambatanisha na mchoro wa viwanja husika kwenye jukwaa Hili.

Bei zimetofautiana kulingana na ukubwa wa eneo kama ifuatavyo :

1600sm (40*40) = 35milioni(Mazungumzo yapo).

800sm (20*40) = 25milioni (Mazungumzo yapo).

Kwa walio-serious wanione PM
IMG_20161220_113440.jpg
IMG_20161220_113433.jpg
 
Asante kwa taarifa hz.
Je kuna UMEME?
Je kuna MAJI?
Maeneo Hayo mkuu
 
Tupe distance kutoka wazo kiwandani au umbali kutoka barabara ya tanroads ile inayoenda kuunga rami ya Goba
 
Hizi plot bado zipo mkuu, ni umbali gani kutoka wazo,?

Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.

Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo kitongoji cha madale mivumoni.

Jumla ya viwanja vipo kumi na tatu(13), vyote vina nyaraka muhimu ikiwemo hati ambayo ipo kwenye process ardhi.

Nikiwa na maana, endapo mtu atanunua, hati itatoka kwa jina lake, nimeambatanisha na mchoro wa viwanja husika kwenye jukwaa Hili.

Bei zimetofautiana kulingana na ukubwa wa eneo kama ifuatavyo :

1600sm (40*40) = 35milioni(Mazungumzo yapo).

800sm (20*40) = 25milioni (Mazungumzo yapo).

Kwa walio-serious wanione PM
View attachment 448475View attachment 448476
izi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom