Nauza viwanja Bunju B

vanilagal

Member
Dec 6, 2014
37
10
Habari!kuna viwanja bunju B kilomita 4 toka bunju barabaran nauza milion nane ni 30 kwa 30 na kingine milion kumi ni 25 kwa 25 hiki kina msingi wa vyumba vitatu pia umeme,maji vinapatikana karibu na eneo hilo na kingine temboni saranga heka moja, milion 25,huduma za jamii zinapatikana pia,lakin vyote havijapimwa !thanks na karibuni wote,kama ukitaka kuviona check me through 0712882855,note!hakuna dalali ni vya kwangu mwenyewe.
 
Nahitaji sana Mukuu lakini niruhusu nilipe kwa installment atleast four month...kama ombi langu liko ok nijibu hapa hata kama nitachelewa kupata i will call you sir. thank you
 
Nahitaji sana Mukuu lakini niruhusu nilipe kwa installment atleast four month...kama ombi langu liko ok nijibu hapa hata kama nitachelewa kupata i will call you sir. thank you
Sawa tutaongea lakin unipigie tukavione wote kwanza ukaridhike ndipo makubaliano yafuate.karibu
 
Dar es salaam,mbele ya tegeta.
Taja Sehemu,Kusema mbele ya tegeta haimaanishi ndio Bunju,Maana mbele ya Tegeta Kuna BOKO-->BUNJU-->MAPINGA-->KEREGE-->>ZINGA--->KIDOMOLE-->>KITOPENI etc,Taja Sehemu Bunju A au Bunju B au Mingoi etc
 
Taja Sehemu,Kusema mbele ya tegeta haimaanishi ndio Bunju,Maana mbele ya Tegeta Kuna BOKO-->BUNJU-->MAPINGA-->KEREGE-->>ZINGA--->KIDOMOLE-->>KITOPENI etc,Taja Sehemu Bunju A au Bunju B au Mingoi etc
Kuna boko,basihaya,bunju A,sasa vyangu ni bunju B,kinondo ambapo nikisimama katika viwanja naona wazo hill au Bunju B KINONDO,karibu na wanapochimba kokoto kwa sasa.asante na karibu
 
Kuna boko,basihaya,bunju A,sasa vyangu ni bunju B,kinondo ambapo nikisimama katika viwanja naona wazo hill au Bunju B KINONDO,karibu na wanapochimba kokoto kwa sasa.asante na karibu
Ukifika bunju b unaenda upande wa kushoto nikiwa natoka huku tegeta ni straight then nakunja kushoto.asante.
 
Habari!kuna viwanja bunju B kilomita 4 toka bunju barabaran nauza milion nane ni 30 kwa 30 na kingine milion kumi ni 25 kwa 25 hiki kina msingi wa vyumba vitatu pia umeme,maji vinapatikana karibu na eneo hilo na kingine temboni saranga heka moja, milion 25,huduma za jamii zinapatikana pia,lakin vyote havijapimwa !thanks na karibuni wote,kama ukitaka kuviona check me through 0712882855,note!hakuna dalali ni vya kwangu mwenyewe.
30 kwa 30 ni nini? meter, miguu au futi?
 
Kuna boko,basihaya,bunju A,sasa vyangu ni bunju B,kinondo ambapo nikisimama katika viwanja naona wazo hill au Bunju B KINONDO,karibu na wanapochimba kokoto kwa sasa.asante na karibu
Sema kinondo kwenye mashamba ya sumaye kulikovamiwa..napajua na pia nina sehemu hapo.
 
Back
Top Bottom